GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Uongozi wa Simba SC hakuna ulazima kila Yanga SC ikitoa Ripoti yake hasa ya Mapato au Mafanikio fulani basi nanyi pia haraka sana mje na yenu ya Kubumba (Kupika) na kufanya Kwenu hivi ni Kutudhalilisha wana Simba SC wengi wenye akili kubwa kuliko hata nyie mlioko uongozini.
Ni Mwendawazimu tu pekee kwa mafanikio makubwa ya Yanga SC kwa Msimu huu, kufanya vyema Kimichezo (Kimashindano), Kujaza Uwanja, Kuuza Jezi na kupata Fedha nyingi ndiyo hatoamini ila kwa Mimi GENTAMYCINE naiamini kwa 100% Ripoti ya Yanga SC ila siiamini na sitokuja kuiamini Ripoti ya Simba SC kwa 100% kwani Kwangu Mimi kama kuna Msimu mbaya ambao Simba SC yangu imefanya vibaya ni huu wa sasa (2022/2023 ) Uliomalizika.
Tuachane na Propaganda za hovyo.
Ni Mwendawazimu tu pekee kwa mafanikio makubwa ya Yanga SC kwa Msimu huu, kufanya vyema Kimichezo (Kimashindano), Kujaza Uwanja, Kuuza Jezi na kupata Fedha nyingi ndiyo hatoamini ila kwa Mimi GENTAMYCINE naiamini kwa 100% Ripoti ya Yanga SC ila siiamini na sitokuja kuiamini Ripoti ya Simba SC kwa 100% kwani Kwangu Mimi kama kuna Msimu mbaya ambao Simba SC yangu imefanya vibaya ni huu wa sasa (2022/2023 ) Uliomalizika.
Tuachane na Propaganda za hovyo.