Nisingesema: Wanaokumbuka Misri Tukiwakubalia ...

Nisingesema: Wanaokumbuka Misri Tukiwakubalia ...

umepotoka kabisa wewe unaejaribu kulinganisha siasa za kundi lako na maneno matakatifu ya bible.
 
Wana-si hasa wa huku Africa unawafanisha na Musa?? Pole! Sasa hivi wanafikiria mwaka 2020 watatokaje.
 
kama mahakamani tunashindwa kesi na hawa mafisadi,kuna ulazimagani wakuwanazo mpaka sasa??mpaka ungwe hii hakuna alie silimishwa napata mashaka na hii safari,Mussa alifanya maajabu yakiungu hata kabla jua halija chomoza

can you type correctly?
 
Niambie mpaka leo hii ni fisadi gani ameguswa kati ya yale mafisadi yaliyofilisi hii nchi?

Mafisadi ya Escrow leo hayako uraini?

Baadhi ya watuhumiwa wa hii kashifa hawako kwenye cabinet yake?

Ya Lugumi,ya UDA,ya bilioni 9 za Ikulu(mazingira) n.k hayajui?
Utaona kila rangi mwaka huu
 
Tumekubali kuondoka Misri lakini hatutaki kiongozi wa Msafara wetu atoke katika familia ya ki-Pharaoh. Ndiyo maana Musa hakuwa na uhusiano wowote na wana wa Misri.
Twambie ni kiongozi yupi basi asiyetoka kwenye familia ya kifarao? Lowassa? My foot!!!!
 
Tatizo walituaminisha kuwa wanataka kwenda mbele na kwamba huko mbele kumejaa asali na maziwa, lakini ndani ya miezi sita wanasema bora kurudi kule kule tulikotoka. Mfano halisi, walisema posho, warsha viondolewe, lakini sasa wanataka posho na warsha virudishwe. Pili, rais ana safiri sana, sasa wanataka rais asafiri! The list is endless. confusaniiiii!
Mmhhh kuna kaukweli kdg!
 
Inasikitisha kuona UKAWA wanapinga kila juhudi ya rais kuleta mabadiliko.. ...
Rais piga kazi tunakuunga mkono.
Mimi nimependa mabadiliko ya bei ya sukari. Utamu lazima uuzwe kwa bei ya juu.
Sukari, ze utamu, sukari, nam nam.
Leo asubuhi,Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe ( CCM) alitoa hoja ya haja ya dharura kulitaka Bunge kujadili uhaba wa sukari nchini. Bashe alitoa mfano wa bei ya sukari kwasasa,kuthibitisha uhaba uliopo kwa sasa,kuwa kilo moja inauzwa kati ya 3000 na 4000.

Pamoja na kupata uungwaji mkono utakiwayo,kwa Wabunge wenzake kusimama,Kiti cha Spika chini ya Dr. Tulia kiliizima hoja hiyo ya Bashe. .......
Rais amepunguza bei ya sukari kutoka 1800 mpaka 3000-4000.
Namba inasomeka vizuri 2400 kwenda 1800 na kuota mbawa kufikia 3000 - 4000

Link Sukari: Dr. Ackson Tulia ( Naibu Spika),upongezwe?

Ngoja nirudi Misri kuungana na Mzee Mwanakijiji, kule tutapata sio sukari tu tutapata pia asali na maziwa.
 
Back
Top Bottom