VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,006
Leo asubuhi,Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe ( CCM) alitoa hoja ya haja ya dharura kulitaka Bunge kujadili uhaba wa sukari nchini. Bashe alitoa mfano wa bei ya sukari kwasasa,kuthibitisha uhaba uliopo kwa sasa,kuwa kilo moja inauzwa kati ya 3000 na 4000.
Pamoja na kupata uungwaji mkono utakiwayo,kwa Wabunge wenzake kusimama,Kiti cha Spika chini ya Dr. Tulia kiliizima hoja hiyo ya Bashe. Naibu Spika Dr. Tulia alisema kuwa hakuna haja kuwepo mjadala wa uhaba wa sukari nchini kwa kuwa Waziri Mkuu Majaliwa alishatoa taarifa ya serikali.
Waziri Mkuu Majaliwa alisema kuwa Serikali ina nia ya kutoa vibali vya kuagiza sukari. Naibu Spika yuko sawa kuizima hoja ya Bashe?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Pamoja na kupata uungwaji mkono utakiwayo,kwa Wabunge wenzake kusimama,Kiti cha Spika chini ya Dr. Tulia kiliizima hoja hiyo ya Bashe. Naibu Spika Dr. Tulia alisema kuwa hakuna haja kuwepo mjadala wa uhaba wa sukari nchini kwa kuwa Waziri Mkuu Majaliwa alishatoa taarifa ya serikali.
Waziri Mkuu Majaliwa alisema kuwa Serikali ina nia ya kutoa vibali vya kuagiza sukari. Naibu Spika yuko sawa kuizima hoja ya Bashe?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)