Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #161
Mi ni mvivu kusema ukweli wa makala ndefu. Tatizo nililonalo ni kwamba, baadhi ya watu wakiandika makala km huyu "Mzee wetu" lazima nihakikishe naimaliza. Naimaliza kwa sababu lazma kuna point za maana na za kutosha. Nikuulize #Mzee mwanakijiji; Kwa nini ushauri huu usingeutoa mapema na "kuhakikisha" unafanyiwa kazi na CHADEMA?
Mbona ulishatolewa kwa namna mbalimbali huko nyuma? Hapa nimerudia tu labda kwa kirefu.