Irene marwa
Member
- Jul 25, 2020
- 35
- 36
Me ni yule niliyeuliza kuhusu kuwa na mimba ni kweli nilipima na nikakuta ni mjamzito wa mwezi mmoja ila shida me nipo mbali na wazazi na kwa sasa nipo chuo.
Yaani mpka mwakani mwezi wa sita ndo namaliza na hapo chuon huwa tunavaa uniform nashindwa hata kuelewa nifanye nini lakini kuhusu baba wa mtoto kakubali Kulea mimba. Sasa naombeni ushauri jamani maana me sihitaji kuwaelezea wazazi kwa sasa mpka ntakapomaliza chuo na kutoa mimba siwezi kabisa.
Nishaurini mdogo wenu nifanye nini maana yeye mwanaume kakubali kunipangia chumba na mahitaji mengine ila shida nitaendaje chuoni na tumbo kubwa na pale tunavaa uniform si nitakuwa wa ajabu wenye mawazo naombeni mnisaidie.
Yaani mpka mwakani mwezi wa sita ndo namaliza na hapo chuon huwa tunavaa uniform nashindwa hata kuelewa nifanye nini lakini kuhusu baba wa mtoto kakubali Kulea mimba. Sasa naombeni ushauri jamani maana me sihitaji kuwaelezea wazazi kwa sasa mpka ntakapomaliza chuo na kutoa mimba siwezi kabisa.
Nishaurini mdogo wenu nifanye nini maana yeye mwanaume kakubali kunipangia chumba na mahitaji mengine ila shida nitaendaje chuoni na tumbo kubwa na pale tunavaa uniform si nitakuwa wa ajabu wenye mawazo naombeni mnisaidie.