Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mulibwanji?
Nipo njiapanda, ninaishi na mwanamke wangu na nduguye kwa muda sasa, tatizo limekuwepo la dada mtu na mdogo mtu kupishana mara kwa mara kitendo ambacho kimepelekea kuwepo kwa vikao vya kuwasuluhisha na mambo kuisha.
Wakati mwngne huwa nasema basi mdogo mtu aondoke, niksema hivyo dada mtu hataki pia mdogo mtu nae alishasema aondoke dada mtu pi hukataa.
Vikao vingine ni vyangu binafsi na dada mtu anapokuwa amenikosea nadhani mnajua mambo ya wawili tena.
Sasa huyu mwanamke wangu ananituhumu vikao vimekuwa vingi sana na mbaya zaidi anasema eti huwa tunazungumza mambo ambayo hayana maana wakati huwa ni kesi zake na nduguye na mambo yangu na yeye.
Sasa mimi nikamuliza nje ya kufanya vikao tuwe tunafanyaje linapotokea jambo la kuambizana ukweli ananijbu sijui, nikamwambia basi huwenda tumeshndwa kukaa pamoja, tusambaratike sasa kila mtu na njia yake, hapo napo akasema pengne ni mipango yangu ya muda mrefu ya kutaka tusambaratike tu.
Sasa waja mimi nifanyaje au nichukue maamuzi gani sasa au likitokea jambo nifanye maamuzi kimya kimya tu?
Nipo njiapanda, ninaishi na mwanamke wangu na nduguye kwa muda sasa, tatizo limekuwepo la dada mtu na mdogo mtu kupishana mara kwa mara kitendo ambacho kimepelekea kuwepo kwa vikao vya kuwasuluhisha na mambo kuisha.
Wakati mwngne huwa nasema basi mdogo mtu aondoke, niksema hivyo dada mtu hataki pia mdogo mtu nae alishasema aondoke dada mtu pi hukataa.
Vikao vingine ni vyangu binafsi na dada mtu anapokuwa amenikosea nadhani mnajua mambo ya wawili tena.
Sasa huyu mwanamke wangu ananituhumu vikao vimekuwa vingi sana na mbaya zaidi anasema eti huwa tunazungumza mambo ambayo hayana maana wakati huwa ni kesi zake na nduguye na mambo yangu na yeye.
Sasa mimi nikamuliza nje ya kufanya vikao tuwe tunafanyaje linapotokea jambo la kuambizana ukweli ananijbu sijui, nikamwambia basi huwenda tumeshndwa kukaa pamoja, tusambaratike sasa kila mtu na njia yake, hapo napo akasema pengne ni mipango yangu ya muda mrefu ya kutaka tusambaratike tu.
Sasa waja mimi nifanyaje au nichukue maamuzi gani sasa au likitokea jambo nifanye maamuzi kimya kimya tu?