Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
Jamani watanzania wenzangu,
Naomba tushauriane ni nishati gani nafuu ya kutumia majumbani kupikia hasa kwa watu wa kipato cha chini au cha kati tunaoishi mjini? Maana bei ya gesi au mkaa ni zaidi ya Sh. 50,000. Umeme ndo huo huwezi kupikia na haupatikani kwa uhakika. Mafuta ya taa sina uhakika kama yanaweza kukidhi haja.
Hivi kwa nini tusitumie gesi asilia kutoka mikoa ya kusini kupikia badala yake tunategemea gesi ya kutoka nje? Ambayo bei yake hatuwezi kuidhibiti?
Naomba tushauriane ni nishati gani nafuu ya kutumia majumbani kupikia hasa kwa watu wa kipato cha chini au cha kati tunaoishi mjini? Maana bei ya gesi au mkaa ni zaidi ya Sh. 50,000. Umeme ndo huo huwezi kupikia na haupatikani kwa uhakika. Mafuta ya taa sina uhakika kama yanaweza kukidhi haja.
Hivi kwa nini tusitumie gesi asilia kutoka mikoa ya kusini kupikia badala yake tunategemea gesi ya kutoka nje? Ambayo bei yake hatuwezi kuidhibiti?