Nisameheni

B nini kimetendeka kwani!! u-Shingongo nini?? sikuelewa mie mwenzio leo slow mbaya!!

hebu fatilia B,,,, kuna mtu anajifanya championi wa kuedit apo., Mi akija CM akamblast simo! ataka kuvaa viatu vya wakubwa
 
Hata hii ya sasa hivi mbona bado vivyo hivyo!!!!
 
hebu fatilia B,,,, kuna mtu anajifanya championi wa kuedit apo., Mi akija CM akamblast simo! ataka kuvaa viatu vya wakubwa

ahaaaaa nimekusoma B.....
 

Sasa hiyo uloweka ndo umetubu ama ndo umeongeza zaidi???
 
editors at work......ova


.......mawasiliano, mawasiliano afande, ova....nam, ndo huyu Father Xmas kwenye orodha ya marafiki wa... wa ..wamrembo???...ova...ova..ova!.
 
.......mawasiliano, mawasiliano afande, ova....nam, ndo huyu Father Xmas kwenye orodha ya marafiki wa... wa ..wamrembo???...ova...ova..ova!.

hahahaa Ngoshwe bana aah!! LOL

ndo chief 'editor' ova!!!
 
Mbona mimi jamani dada cheusi naona tu bado hii avata inanitia majaribuni japo sijawahi kuku PM kwa heshima. ila mmmh kama umeamua kubadilisha basi weka nzuri jamani hiii mhhh huwa nikiaangali lol
 
hahahaa Ngoshwe bana aah!! LOL

ndo chief 'editor' ova!!!

....ni miongoni mwa wale waliokwazika na tanker....ova???..hii ni pamoja na kuambiwa kituo kimejaa ...ova...Befriend Mrembo ova!.
 
Mbona mimi jamani dada cheusi naona tu bado hii avata inanitia majaribuni japo sijawahi kuku PM kwa heshima. ila mmmh kama umeamua kubadilisha basi weka nzuri jamani hiii mhhh huwa nikiaangali lol

What happens? LOL
 

umerudishia eeh?? sasa fulu babake tutakua tunapandishia stimu kabla hatujadondoka viwanja week-end😉
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…