Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

I know it hurts. ..but nimeyavumilia mengi ya huyu jamaa na yeye kaongopa sikumfuma na hao wanawake bar ilikuwa kwenye room yake mi sio chizi nianze kurusha makonde bar
Oooh!!! Pole.
Ila bado yanaongeleka,wanaume wa kibongo michepuko kama ibada tu!!
Msimwage mchele kwenye Kuku wengi itaneni chamber myaongee mkilisongesha kheir,ikishindikana kabisa siri yenu pia.
 
Tatizo mnamikia ya kupepea,hela ndo zinawabeba.
Kampata mbishi anaejua kusmamia show,unafkiiri kuna nn tena?!
 
Wanishirikishe mie tu, naapa wakinitenga nitafanyiwa upasuaji wa koo la umbea.

Oooh!!! Pole.
Ila bado yanaongeleka,wanaume wa kibongo michepuko kama ibada tu!!
Msimwage mchele kwenye Kuku wengi itaneni chamber myaongee mkilisongesha kheir,ikishindikana kabisa siri yenu pia.
 
Team Samehe Lambogini at wek

lakini Rapunzel my dia ujue hamna binadamu mkamilifu,afu ndo vile tena wenzetu hawa kwa ujumla ni kama baba na mama yao mmoja(siwatetei) ndio mana wao wanakojoa wamesimama siye mchuchumao(siwatukani) ndivyo walivyo,MPE NAFASI YA MWISHO.... kosa la kwanza haliachi mke wala mume.MSAMEHE BIBIE.
 
Nataka ila naona aibu hadharani (SOrry Rappie, bora nivae tu uhusika kwa muda, naona unanichelewesha kujibu)
Nipe muda wa kutafakari, piga baada ya masaa mawili, sasa hivi niko kwenye milk therapy.



Hivi huingiwi na iani tu?

Rapunzel tumalize hii issue
Ni Kweli bado unanihitaji niwe nawe?
hata Kama hutojibu hapa let's talk on the phone
nakupigia ss hivi
 
Ujue kaka yangu Lambogini amewekeza moyo wake kwako? (sijui hata lini undugu huu umeanza)


Asante dada yangu Kongosho ukaka na udada umeanza leo hesabu una zawadi yako toka kwangu kwa kunisimamia kidete
Nampigia simu tumalize huu mchezo ndio nitajua Kama bado ananipenda au la
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom