Firauni mkubwa wewe,nimekuchukia sana.
Huyo mwanamke akikutafuta akapimwe akili.
Ni ww?
Firauni mkubwa wewe,nimekuchukia sana.
Huyo mwanamke akikutafuta akapimwe akili.
Mkuu story yako ndo kinachonitokea. What i do right now.... I kill her with kindness. Kila mda huwa anaona aibu... She feels so guilty. Na ananiona ni innocent guy. But end of the day huu mchezo hauhitaji hasira. Ila mto uzi ana roho mbaya sana.Mbona Mimi enzi zangu nshatapeliwa Sana? Sijawahi kulipiza kisasi hata siku moja! Umeenda Mpaka hotelini uko nae na Mlikua mmeshaongea about a week or so na hio promise katoa yeye mwenyewe, mnafika mnachukua na kulipia room, mnaingia mnafika, unAjiandaa, unaanza utundu wako. Ghafla mwenzio anabadilika kama vile haelewi. Unabembeleza weee Matokeo yake unakua una buy time mtoke ili usionekane hujapewa. Si unajua kujishuku? Ukianza kuvaa nguo ili muagane anakujulisha kuwa hana nauli! Halafu kuna ile Pesa aliyokuomba kuna "vitu " anataka akanunuae! Dah, kiunyonge Sana unampa anakwambia haitoshi! Unajizuia usipandwe hasira, una mpa kisha hasemi hata asante. Mnavyotoka anakuomba ukamuache kituoni, unampakia, kwenye gari hamuongei, anakuuliza,. Mbona umenuna? Anakuomba msamaha kisha anaku promise next time!! Hahaahhaha unajiuliza, huyu mtu ni binadamu au jini? Ila huwa hatulipizi visasi, hio ndio maturity ya kiume na Law ya Hunter, amekosa leo, atapata kesho. No extra fighting,
Sina roho mbaya mkuu.Mkuu story yako ndo kinachonitokea. What i do right now.... I kill her with kindness. Kila mda huwa anaona aibu... She feels so guilty. Na ananiona ni innocent guy. But end of the day huu mchezo hauhitaji hasira. Ila mto uzi ana roho mbaya sana.
Ila kweli. Dah hii dunia hiiSina roho mbaya mkuu.
Tatizo haujawajaua hawa viumbe kuwa wao ndiyo wana ukatili wa ajabu.
Yah Mkuu.Ila kweli. Dah hii dunia hii
Afu bado wakurya tunasingiziwa kuwa ndio viumbe wakatili kuliko wote hapa tanzania!kumbe kuna viumbe wakatili zaidi yetu?
Kichwa **viUnamaanisha nini?
Wahi shuleni mkuu..
MkuuMji kasoro Mkuu.
Karibu sana mjini kasoro ingawa nipo kikazi tu Mkuu.
Hahaahhahhuyu alotoa hii story nina uhakika ana miaka kati ya 23-26 (japo wapo wenye umri huu na wana busara), Na kama una umri Zaidi ya hapo huyo mwanamke atakaeolewa na wewe kala hasara, Aibu yani malipo duniani usicheze na chozi la mwanamke, halafu unajiona kidume unajisifia mmh, wewe ndio umemkosea badala kuwa mpole na kuomba msamaha ati bado unataka ukapewe mchezo, hayo ndio madhara ya kupenda mwanaume asiekupenda HAWEZI KUJALI MAUMIVU YAKO.
Tutachekiana wkeend Mkuu.Mkuu
Inabidi unitafute tukanywe bia Vybes huku ukinieleza ni mdudu gani alikuingia kichwani siku iyo!!