Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Wa MorogoroHata huyu kwani mwanaume wa Dar?
Wa MorogoroHata huyu kwani mwanaume wa Dar?
Kama jino kwa jino sasa unaomba msamaha wa nini?Mimi sio mjinga Mkuu.
Tambua kuwa hata biblia inasema jino kwa jino Mkuu.
Alianza nikamaliza mkuu.
Wanaume wa Dar mnnawaonea tu kumbe hata mkoani kuna vimeoWa Morogoro
Wanatuonea sana sisi wa Dar.Wanaume wa Dar mnnawaonea tu kumbe hata mkoani kuna vimeo
Inabidi muanzishe ukuta wenuWanatuonea sana sisi wa Dar.
Sasa Hivi ukikutana naye ndo atakuitia jambazi kabisaSikumrudia ila nilikuwa tu nafaidi mafao ya uzeeni baada ya kustaafu.
Hiyo tumemuachia meya wa jiji la Dar Es Salaam hahahaInabidi muanzishe ukuta wenu
Shauri yenu nae atawaachia viongozi wa dini, hao nao watamuachia Mungu habari ndo itaishia hapo...mtaendelea kusemwa tuHiyo tumemuachia meya wa jiji la Dar Es Salaam hahaha
Maneno yangekuwa yanatoboa nahisi tungekuwa zaidi ya matenga sasa hivi. Wanasema sana halafu mwisho wa siku wa mkoani nao wanataka kuja DarShauri yenu nae atawaachia viongozi wa dini, hao nao watamuachia Mungu habari ndo itaishia hapo...mtaendelea kusemwa tu
Jiji la woteNgoja akae na jiji lake aisee yule Jamaa.
Wifi angu Kwa nani?Kivyovyote poa tu.
Ndiyo wifi yako nini?
Yan Unamsevu mzinguaji kisha unataka akupe mapenzi? Akikunyima unaanza kuonaa umeletewa tabia za ajabuajabu? dooh kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Sio mbaya.
Ameacha tabia zake za ajabu ajabu?
HahahahahTukisema unafikiria kwakutumia kwapa utakataa kweli