Nisaidieni Wana JF-nataka kutoka

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
Wana JF

Mimi kijana mwenzenu ninayetegemea kujiondoa ktk maswala ya kuajiliwa na nataka kujiajiri mwenyewe

ktk kufanya hilo nime amuwa kuanzisha kampuni yangu binafsi nitakayo isimamia mimi mwenyewe.


Wana JF Nawaomba msaada tena msaada huu utanitowa hapa nilipo na kunipeleka hapo ninapokusudia

Nategemea kuanzisha kampuni itakayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vyote vinavyo husu maswala ya SOLAR POWER hapa kwetu Tanzania

Naomba msaada wa kumpata mwanasheria atakaye nisaidia ktk kuisajiri kampuni yangu,sina maarifa yeyote na mambo ya sheria juu ya uanzishwaji wa kampuni binafsi,sijui nini kinahitajika na wapi

kama yupo mtoa msaada basi tushikane mikono na kuinuana ktk hili


Kampuni yangu itajulikana kwa jina la IHAM SOLAR SUPPLIERS office zitakuwa Morogoro kwa kuanzia




Karibuni kwa mawazo,kwa pamoja tutafika

SOLAR POWER FOR LIFE-PIA SOLAR POWER NI RAFIKI WA MAZINGIRA
 
hongera sana kwa kupania KUTOKA kama alivyoshauri rais wetu kwa viongozi.
kwa kuanzia, usimwage kuku kwenye mchele wako kidogo,watakufilisi. sio vizuri kumwaga details zote hadharani,hapa inawezekana mtu akawahi na kufanya vyote unavyofikiria kabla yako (formula ya syrup ya coca cola hata meneja mkuu haijui,analetewa kwenye kidumu tu). sidhani kama kwa kuanzia unahitaji mwanasheria,nadhani ungeweza kusajili kampuni kwanza halafu ukaona usiyoweza kufanya mwenyewe ndo utafute msaada. jaribu kufika brela kwanza uone watakuambia nini. kila la heri, wazo zuri sana na mie nakuwa mteja wako
 
hongera sana kwa kupania KUTOKA kama alivyoshauri rais wetu kwa viongozi.
kwa kuanzia, usimwage kuku kwenye mchele wako kidogo,watakufilisi. sio vizuri kumwaga details zote hadharani,hapa inawezekana mtu akawahi na kufanya vyote unavyofikiria kabla yako (formula ya syrup ya coca cola hata meneja mkuu haijui,analetewa kwenye kidumu tu). sidhani kama kwa kuanzia unahitaji mwanasheria,nadhani ungeweza kusajili kampuni kwanza halafu ukaona usiyoweza kufanya mwenyewe ndo utafute msaada. jaribu kufika brela kwanza uone watakuambia nini. kila la heri, wazo zuri sana na mie nakuwa mteja wako

thanks ,wazo nimelichuwa na nalifanyia kazi
 
kwanza hongera sana na mungu akuongoze kwenye malengo yako mazuri, uko sahihi, kwa sasa ni muhimu sana kumtafuta mwanasheria au mtu professional anayejua mambo ya kwanza ya kujisajiri na maswala mazima ya kulipa kodi na cost nyingine muhimu, i hope utatoka tu wangu
 
kwanza hongera sana na mungu akuongoze kwenye malengo yako mazuri, uko sahihi, kwa sasa ni muhimu sana kumtafuta mwanasheria au mtu professional anayejua mambo ya kwanza ya kujisajiri na maswala mazima ya kulipa kodi na cost nyingine muhimu, i hope utatoka tu wangu

pamoja mkuu,namsubiri huyo atakaye jitolea kunitoa ktk hili wimbi,pia nami naendelea kuwasiliana na brela nijui nini cha kufanya
 
pamoja mkuu,namsubiri huyo atakaye jitolea kunitoa ktk hili wimbi,pia nami naendelea kuwasiliana na brela nijui nini cha kufanya

Brela muhimu, ila angalia wale jamaa siku hizi hawaeleweki, unaweza ukajiandikisha then ukajasikia faili lako limepote mikononi mwao
 
Wazo zuri sana ndugu!

Wasomi wetu wengiine nao wangekuwa na mawazo ya kuanzisha vitu kama hivyo ingesaidia kupanua ajira kwa wa-TZ wengi. Lakini sasa hivi unakuta wasomi ndo wanabanana mijini kutafuta ajira hawana mawazo ya kujiajiri.

Na wengi wa wasomi wetu ni waoga wa kukabiri changamoto!!

Nashindwa kuelewa mitaala ya vyuo vyetu inaandaa watalaam gani hasa? Hivyo ndugu komaa na hilo wazo lako wala usiachie njiani, hiyo ndo itakayokutoa!

Nami niko njiani kuchomoka kwenye hizi ajira za watu nikasaidie wengine kupata ajira, maana naona huku kama nanyonywa tu!!
 
Wana JF

Mimi kijana mwenzenu ninayetegemea kujiondoa ktk maswala ya kuajiliwa na nataka kujiajiri mwenyewe

ktk kufanya hilo nime amuwa kuanzisha kampuni yangu binafsi nitakayo isimamia mimi mwenyewe.


Wana JF Nawaomba msaada tena msaada huu utanitowa hapa nilipo na kunipeleka hapo ninapokusudia

Nategemea kuanzisha kampuni itakayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vyote vinavyo husu maswala ya SOLAR POWER hapa kwetu Tanzania

Naomba msaada wa kumpata mwanasheria atakaye nisaidia ktk kuisajiri kampuni yangu,sina maarifa yeyote na mambo ya sheria juu ya uanzishwaji wa kampuni binafsi,sijui nini kinahitajika na wapi

kama yupo mtoa msaada basi tushikane mikono na kuinuana ktk hili


Kampuni yangu itajulikana kwa jina la IHAM SOLAR SUPPLIERS office zitakuwa Morogoro kwa kuanzia

Na hii hapa ni itakayokuwa website yangu http://www.ihamsolar.com bado sijanunua Domain nipo mbioni kufanya hivyo na kwa hapa chini ndio itakayokuwa Log yangu na tayari nimesha anza kuitumia na e-mail yangu ni engmtoleraibrahim@yahoo.com

View attachment 32384
Karibuni kwa mawazo,kwa pamoja tutafika

HONGERA SANA MKUU, BUT KUHUSU KUSAJIRI KAMPUNI NI RAHISI MNO NA UNATAKIWA KUFANYA YAFUATAYO.
. KUPELEKA JINA BRELA YAANI KUSEARCH JINA
- THENI JINA LIKISHA TOKA ANDAA MEMORUNDUM AND ARICAL OF ASOCIATION HAPA UNAWEZA ANDAA MWENYEWE AU UKAMTAFUTA WAKILI MAKE WALE WAMESOMEA COMPANY LAW.
- THENI UKISHAMALIZA PELEKA BRELA KUNA FORM ZINAPATIKANA KWENYE WEBSITE ZAO UNAZIJAZA THENI UNAZIPELEKA PAMOJA NA HIYO MEMORUNDUM AND ARICAL OF ASOCIATION.
REGULATIONS
________
Made under section 452
________
THE COMPANIES (FEES PAYABLE TO REGISTRAR) REGULATIONS, 2005
1. These Regulations may be cited as the Companies (Fees payable to Registrar)
Regulations 2005, and shall come into force on the date of publication.
Citation
2. In these Regulation, "the Act" means the Companies Act 2002.
Interpretation
Act No. 12 of 2005
3. The Schedule to these Regulations has effect with respect to the fees payable to
Registrar of Companies for the performance of his functions under the Act as follows:
Fees
______
SCHEDULE
______
Function Amount
For the registration of a company having capital whose nominal share capital is:
(a) not more than Tshs.20,000/= but not more than Tshs.500,000/= 50,000/=
(b) more than Tshs.500,000/= but not more than Tshs.1,000,000/= 80,000/=
(c) more than Tshs.1,000,000/= but not more than Tshs.2,000,000/= 100,000/=
(d) more than Tshs.2,000,000/= but not more than Tshs.3,000,000/= 120,000/=
(e) more than Tshs.3,000,000/= but not more than Tshs.5,000,000/= 150,000/=
(f) more than Tshs.5,000,000/= but not more than Tshs.10,000,000/= 180,000/=
(g) more than Tshs.10,000,000/= but not more than Tshs.30,000,000/= 200,000/=
(h) more than Tshs.30,000,000/= ..................................................................................... 300,000/=
2. For the registration of a company not having a share capital where the number of
members as stated in the Articles of Association:
(a) does not exceed 25 ...................................................................................................... 50,000/=
(b) exceeds 25 but does not exceed 50 ............................................................................ 60,000/=
(c) exceeds 50 but does not exceed 100 ......................................................................... 70,000/=
(d) exceeds 100 but does not exceed 150 ....................................................................... 80,000/=
(e) exceeds 150 but does not exceed 200 ........................................................................ 90,000/=
(f) is unlimited ................................................................................................................... 120,000/=


(b) Filing fee;Is Shs. 45,000/- for the whole application. Meaning 15,000/- for each document i.e. Memorandum and Articles of Association, form no.1, 14a and 14beach Shs.15,000/- total shs. 45,000/- (c) Stamp DutyIs paid Tshs.6,000/- for the original Memorandum and Articles of Association, shs. 1,200/- for form no.1. Tshs. 5,000/- is paid as stamp duty for each copy of Memorandum and Articles of Association.
  • All payments are payable to the Registrar or Companies against which receipts are issued. Applicants are advised to desist from m aking payments for which no receipts are issued. Any demands or request by any officer in the Registry for money, which is not within the payment schedule stated, should forthwith be reported to phone no. 2180113 for necessary action.
  • Any changes that occur in the company should be reported to the Registrar immediately. The registrar after noting the reported change registers the same on payment of filing fees. Penalty is charged if the change in particulars is not reported in time. The current rate of penalty Shs. 1,500/- per month and part thereof.
  • If a company after one year fails to take off, for any reasons whatsoever, the officers thereof may notify the Registrar who issues notice to strike such company off the register off companies. If no notification is made, the Registrar assumes that the company is carrying on business and is therefore required to comply with all the requirement relating to existing companies.

Conclusion 1. The process of company registration is done under the law and is a transparent one. 2. If the correct procedure is followed, the process takes approximately three days and not more than five days. 3. If after three days the process is not completed, an applicant may demand, as of right, to see any member of the management who will provide an explanation or assist the applicant to be informed of reasons for delay. 4. The office sincerely looks forward to having cooperation from the stakeholders whose views and suggestions on the improvement of services of the registry are taken very seriously. Company Registration Procedures

NITUMIE EMAIL YAKO ILI NIKUTUMIE SAMPLE ILIYO TIYALI YAANI UEDIT KIDOGO TU.


 
Mkuu wazo ni zuri; Lakini nilifikiri utasema unataka kuanzisha kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya solar, kumbe unaanzisha kampuni ya kusambaza vifaa. SWALI; Je utavitoa wapi?. Sasa umefika wakati wa kubadili mitazamo yetu badala ya kukimbilia kuwa WAHUUZI au WAMACHINGA ni vyema kufikiria kuzalisha bidhaa, hivi biashara za uchuuzi haziwezi kututoa kwa haraka. Hivyo basi mimi ningekushauri ufikirie mbali zaidi ya hapo.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Mkuu wazo ni zuri; Lakini nilifikiri utasema unataka kuanzisha kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya solar, kumbe unaanzisha kampuni ya kusambaza vifaa. SWALI; Je utavitoa wapi?. Sasa umefika wakati wa kubadili mitazamo yetu badala ya kukimbilia kuwa WAHUUZI au WAMACHINGA ni vyema kufikiria kuzalisha bidhaa, hivi biashara za uchuuzi haziwezi kututoa kwa haraka. Hivyo basi mimi ningekushauri ufikirie mbali zaidi ya hapo.

Ni kweli mkuu, Wa Tanzania wengi ni Wafanya biashara na si Wajasiriamali.
 
Wana JF

Mimi kijana mwenzenu ninayetegemea kujiondoa ktk maswala ya kuajiliwa na nataka kujiajiri mwenyewe

ktk kufanya hilo nime amuwa kuanzisha kampuni yangu binafsi nitakayo isimamia mimi mwenyewe.


Wana JF Nawaomba msaada tena msaada huu utanitowa hapa nilipo na kunipeleka hapo ninapokusudia

Nategemea kuanzisha kampuni itakayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vyote vinavyo husu maswala ya SOLAR POWER hapa kwetu Tanzania

Naomba msaada wa kumpata mwanasheria atakaye nisaidia ktk kuisajiri kampuni yangu,sina maarifa yeyote na mambo ya sheria juu ya uanzishwaji wa kampuni binafsi,sijui nini kinahitajika na wapi

kama yupo mtoa msaada basi tushikane mikono na kuinuana ktk hili


Kampuni yangu itajulikana kwa jina la IHAM SOLAR SUPPLIERS office zitakuwa Morogoro kwa kuanzia

Na hii hapa ni itakayokuwa website yangu http://www.ihamsolar.com bado sijanunua Domain nipo mbioni kufanya hivyo na kwa hapa chini ndio itakayokuwa Log yangu na tayari nimesha anza kuitumia na e-mail yangu ni engmtoleraibrahim@yahoo.com

View attachment 32384
Karibuni kwa mawazo,kwa pamoja tutafika

HONGERA SANA MKUU, BUT KUHUSU KUSAJIRI KAMPUNI NI RAHISI MNO NA UNATAKIWA KUFANYA YAFUATAYO.
. KUPELEKA JINA BRELA YAANI KUSEARCH JINA
- THENI JINA LIKISHA TOKA ANDAA MEMORUNDUM AND ARICAL OF ASOCIATION HAPA UNAWEZA ANDAA MWENYEWE AU UKAMTAFUTA WAKILI MAKE WALE WAMESOMEA COMPANY LAW.
- THENI UKISHAMALIZA PELEKA BRELA KUNA FORM ZINAPATIKANA KWENYE WEBSITE ZAO UNAZIJAZA THENI UNAZIPELEKA PAMOJA NA HIYO MEMORUNDUM AND ARICAL OF ASOCIATION.
REGULATIONS
________
Made under section 452
________
THE COMPANIES (FEES PAYABLE TO REGISTRAR) REGULATIONS, 2005
1. These Regulations may be cited as the Companies (Fees payable to Registrar)
Regulations 2005, and shall come into force on the date of publication.
Citation
2. In these Regulation, "the Act" means the Companies Act 2002.
Interpretation
Act No. 12 of 2005
3. The Schedule to these Regulations has effect with respect to the fees payable to
Registrar of Companies for the performance of his functions under the Act as follows:
Fees
______
SCHEDULE
______
Function Amount
For the registration of a company having capital whose nominal share capital is:
(a) not more than Tshs.20,000/= but not more than Tshs.500,000/= 50,000/=
(b) more than Tshs.500,000/= but not more than Tshs.1,000,000/= 80,000/=
(c) more than Tshs.1,000,000/= but not more than Tshs.2,000,000/= 100,000/=
(d) more than Tshs.2,000,000/= but not more than Tshs.3,000,000/= 120,000/=
(e) more than Tshs.3,000,000/= but not more than Tshs.5,000,000/= 150,000/=
(f) more than Tshs.5,000,000/= but not more than Tshs.10,000,000/= 180,000/=
(g) more than Tshs.10,000,000/= but not more than Tshs.30,000,000/= 200,000/=
(h) more than Tshs.30,000,000/= ..................................................................................... 300,000/=
2. For the registration of a company not having a share capital where the number of
members as stated in the Articles of Association:
(a) does not exceed 25 ...................................................................................................... 50,000/=
(b) exceeds 25 but does not exceed 50 ............................................................................ 60,000/=
(c) exceeds 50 but does not exceed 100 ......................................................................... 70,000/=
(d) exceeds 100 but does not exceed 150 ....................................................................... 80,000/=
(e) exceeds 150 but does not exceed 200 ........................................................................ 90,000/=
(f) is unlimited ................................................................................................................... 120,000/=


(b) Filing fee;Is Shs. 45,000/- for the whole application. Meaning 15,000/- for each document i.e. Memorandum and Articles of Association, form no.1, 14a and 14beach Shs.15,000/- total shs. 45,000/- (c) Stamp DutyIs paid Tshs.6,000/- for the original Memorandum and Articles of Association, shs. 1,200/- for form no.1. Tshs. 5,000/- is paid as stamp duty for each copy of Memorandum and Articles of Association.
  • All payments are payable to the Registrar or Companies against which receipts are issued. Applicants are advised to desist from m aking payments for which no receipts are issued. Any demands or request by any officer in the Registry for money, which is not within the payment schedule stated, should forthwith be reported to phone no. 2180113 for necessary action.
  • Any changes that occur in the company should be reported to the Registrar immediately. The registrar after noting the reported change registers the same on payment of filing fees. Penalty is charged if the change in particulars is not reported in time. The current rate of penalty Shs. 1,500/- per month and part thereof.
  • If a company after one year fails to take off, for any reasons whatsoever, the officers thereof may notify the Registrar who issues notice to strike such company off the register off companies. If no notification is made, the Registrar assumes that the company is carrying on business and is therefore required to comply with all the requirement relating to existing companies.

Conclusion 1. The process of company registration is done under the law and is a transparent one. 2. If the correct procedure is followed, the process takes approximately three days and not more than five days. 3. If after three days the process is not completed, an applicant may demand, as of right, to see any member of the management who will provide an explanation or assist the applicant to be informed of reasons for delay. 4. The office sincerely looks forward to having cooperation from the stakeholders whose views and suggestions on the improvement of services of the registry are taken very seriously. Company Registration Procedures

NITUMIE EMAIL YAKO ILI NIKUTUMIE SAMPLE ILIYO TIYALI YAANI UEDIT KIDOGO TU.



Mkuu nikupongeze kwa kutaka kunisaidia,ni kweli ninataka kutoka na kwa mtindo huu naona mwanga unakuja na kunitoa gizani

nimekutumia email zangu ili tuweze kuendelea kuwasiliana kwa karibu zaidi

Nime kubali Jf ni ya great thinkers
 
Ni kweli mkuu, Wa Tanzania wengi ni Wafanya biashara na si Wajasiriamali.

na hilo ndio tatizo letu watanzania wengi...ujasiriamali ni tofauti kbsaaa na ufanya-biashara za kichuuzi.... kaka anataka kuwa supplies agent na sio mjasiriamali..full stop
 
Mkuu wazo ni zuri; Lakini nilifikiri utasema unataka kuanzisha kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya solar, kumbe unaanzisha kampuni ya kusambaza vifaa. SWALI; Je utavitoa wapi?. Sasa umefika wakati wa kubadili mitazamo yetu badala ya kukimbilia kuwa WAHUUZI au WAMACHINGA ni vyema kufikiria kuzalisha bidhaa, hivi biashara za uchuuzi haziwezi kututoa kwa haraka. Hivyo basi mimi ningekushauri ufikirie mbali zaidi ya hapo.

Nikutoe wasiwasi juu ya hilo ulilonalo
kwani hilo ulilo liongelea nina mtazamo nalo ila kwa sasa bado kipato changu kinaniruhusu kuanza na hili na baada ya hapo mungu akibariki biashara basi naweza kulifikilia hilo

kuhusu wapi nitapata hivi navyo taka kuvifungulia kampuni hii si tatizo,tayari mimi ni member wa baadhi ya viwanda vinavyotengeza vifaa vyote vinavyohusiana na solar ni swala la mimi kukamilisha hii kampuni na kuanza kazi

namshukuru mungu kuwa nina hata kaujuzi ka kutengeneza solar panel mwenyewe ili mradi tu niwe na solar cells,na pia nina uwezo wa kudesign solar system ya aina yeyote ile cha muhimu ni nafasi na maamuzi,hii ni elimu niliyo ipata pale sokoine university wakati nasoma degree yangu ya kwanza ktk maswala ya Agricultural Engineering

pamoja daima
 
na hilo ndio tatizo letu watanzania wengi...ujasiriamali ni tofauti kbsaaa na ufanya-biashara za kichuuzi.... kaka anataka kuwa supplies agent na sio mjasiriamali..full stop

lakini hata mazingira yenyewe yanaturuhusu kuwa hivyo, kwa mfano mimi naweza kutengeneza Home solar panel lakini ni local made,yaani ni ya kutumia kopa materials kiasi kwamba hii itanichukuwa mda mrefu sana kufika malengo,ila baada ya kukamilisha na mambo kwenda vyema basi chochote cha weza kutokea ili mradi tu VIKWAZO na WALAJI wasikwamishe kile ninachokifikilia
 
wana jf

mimi kijana mwenzenu ninayetegemea kujiondoa ktk maswala ya kuajiliwa na nataka kujiajiri mwenyewe

ktk kufanya hilo nime amuwa kuanzisha kampuni yangu binafsi nitakayo isimamia mimi mwenyewe.



Wana jf nawaomba msaada tena msaada huu utanitowa hapa nilipo na kunipeleka hapo ninapokusudia

nategemea kuanzisha kampuni itakayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vyote vinavyo husu maswala ya solar power hapa kwetu tanzania

naomba msaada wa kumpata mwanasheria atakaye nisaidia ktk kuisajiri kampuni yangu,sina maarifa yeyote na mambo ya sheria juu ya uanzishwaji wa kampuni binafsi,sijui nini kinahitajika na wapi

kama yupo mtoa msaada basi tushikane mikono na kuinuana ktk hili


kampuni yangu itajulikana kwa jina la iham solar suppliers office zitakuwa morogoro kwa kuanzia

na hii hapa ni itakayokuwa website yangu http://www.ihamsolar.com bado sijanunua domain nipo mbioni kufanya hivyo na kwa hapa chini ndio itakayokuwa log yangu na tayari nimesha anza kuitumia na e-mail yangu ni engmtoleraibrahim@yahoo.com

View attachment 32384
karibuni kwa mawazo,kwa pamoja tutafika

solar power for life-pia solar power ni rafiki wa mazingira

ni me ku pm mkuu
 
Hongera sana kijana kwa kutaka kujiajiri ila kunasiku ulituanzishia thread hapa kuwa hiyo kampuni ipo tayari na inafanya kazi au ulikuwa unajaribu soko nini mzee? I wish you all the best
 
Hongera sana kijana kwa kutaka kujiajiri ila kunasiku ulituanzishia thread hapa kuwa hiyo kampuni ipo tayari na inafanya kazi au ulikuwa unajaribu soko nini mzee? I wish you all the best

haikuwa kampuni,ila nilikuwa nazitangaza baadhi ya solar panel kwa bei nafuu,ila kwa sasa nimesha zimaliza ziligombaniwa sana

lakini sasa nimekuja na ujio mpya ni lengo la mda mrefu na sasa nalipeleka mbioni

kwa kweli nawashukuru sana wadau kwa michango yenu,

kama muonavyo umeme unazidi kuwa ni Tatizo,kwa hiyo solar power ni kila kitu

ingia hapa Welcome to the IHAM Solar Suppliers
 
Nipe Price ya Solar Panel inayoweza kuendesha pump ya kisima cha maji nataka kuchimba kisima shamba ambapo hakuna umeme muhimu sana mkuu nitumie
 
Hii kampun yako mbona yaonesha kama ipo hewani, mpaka umeanzisha na mawebsite tayari?
 
Back
Top Bottom