engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF
Mimi kijana mwenzenu ninayetegemea kujiondoa ktk maswala ya kuajiliwa na nataka kujiajiri mwenyewe
ktk kufanya hilo nime amuwa kuanzisha kampuni yangu binafsi nitakayo isimamia mimi mwenyewe.
Wana JF Nawaomba msaada tena msaada huu utanitowa hapa nilipo na kunipeleka hapo ninapokusudia
Nategemea kuanzisha kampuni itakayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vyote vinavyo husu maswala ya SOLAR POWER hapa kwetu Tanzania
Naomba msaada wa kumpata mwanasheria atakaye nisaidia ktk kuisajiri kampuni yangu,sina maarifa yeyote na mambo ya sheria juu ya uanzishwaji wa kampuni binafsi,sijui nini kinahitajika na wapi
kama yupo mtoa msaada basi tushikane mikono na kuinuana ktk hili
Kampuni yangu itajulikana kwa jina la IHAM SOLAR SUPPLIERS office zitakuwa Morogoro kwa kuanzia
Karibuni kwa mawazo,kwa pamoja tutafika
SOLAR POWER FOR LIFE-PIA SOLAR POWER NI RAFIKI WA MAZINGIRA
Mimi kijana mwenzenu ninayetegemea kujiondoa ktk maswala ya kuajiliwa na nataka kujiajiri mwenyewe
ktk kufanya hilo nime amuwa kuanzisha kampuni yangu binafsi nitakayo isimamia mimi mwenyewe.
Wana JF Nawaomba msaada tena msaada huu utanitowa hapa nilipo na kunipeleka hapo ninapokusudia
Nategemea kuanzisha kampuni itakayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vyote vinavyo husu maswala ya SOLAR POWER hapa kwetu Tanzania
Naomba msaada wa kumpata mwanasheria atakaye nisaidia ktk kuisajiri kampuni yangu,sina maarifa yeyote na mambo ya sheria juu ya uanzishwaji wa kampuni binafsi,sijui nini kinahitajika na wapi
kama yupo mtoa msaada basi tushikane mikono na kuinuana ktk hili
Kampuni yangu itajulikana kwa jina la IHAM SOLAR SUPPLIERS office zitakuwa Morogoro kwa kuanzia
Karibuni kwa mawazo,kwa pamoja tutafika
SOLAR POWER FOR LIFE-PIA SOLAR POWER NI RAFIKI WA MAZINGIRA