engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
- Thread starter
- #21
Hii kampun yako mbona yaonesha kama ipo hewani, mpaka umeanzisha na mawebsite tayari?
web site nimeanzisha kwa lengo la kuitangaza,lakini lengo langu sasa nikutaka kuisajili,ili niweze kufanya kazi kwa uwanja mpana zaidi
kwani nimepata nafasi ya kuwa agent wa kuuza solar equipments hapa Tanzania lakini wao wanacho hitaji ni certificate of incoperation ambayo ili niweze kupata hiyo ni lazima nisajili kampuni yangu
http://www.ihamsolar.com/