Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

One of the worst thing to do in life is blaming or judging someone for making a wrong choice or chose a certain path in life. Hakuna ambaye hajapitia hiyo stage or situation regardless of how small or big it was..

Pia Moja ya vitu common ni kuwa wote huwa tuna REASONS za kufanya hayo japo ni wachache huja mbele na kujua wapo wrong na kuchukua full responsibility of their actions....

Ok MR "RIGHT", jamaa kashajua what he did was WRONG na pengine mwanzoni hakujua situation atakayokuja kukutana nayo na ndio maana hadi sasa yupo GUILTY na anatamani kupata SOLUTION ambayo haitomuumiza mtu.

That only should tell you how good he is in person, wengine wasingejali so long as wanajali furaha zao. So , he is here seeking for an advice that 'll make a situation a bit easier for EVERYONE japo ni ngumu maana lazma mtu mmoja AUMIZWE.
Ushauri mzuri sana mdogo wangu, ila tafadhali subiri kwanza Pep amalize kupitia post zangu za nyuma usiniharibie ngekewa yangu 'tavazali' sana, huwezi jua wewe ndiye utakuwa mrusha maua wakati wa kuingia ukumbini..!! 😂 😂
 
Nitaambia nini kamati ya roho mbaya nikiachwa kanisani na shela langu??
🤣🤣🤣 nitakua nimebeba nguo ya emergency hyo siku, mambo yakibuma tunaingia chemba unachange basi tunatoka zetu tunaenda mahala kula nyama kama sio sisi vile. Kwani sh ngapi😂😂
 
Ushauri mzuri sana mdogo wangu, ila tafadhali subiri kwanza Pep amalize kupitia post zangu za nyuma usiniharibie ngekewa yangu 'tavazali' sana, huwezi jua wewe ndiye utakuwa mrusha maua wakati wa kuingia ukumbini..!! 😂 😂

lakini isipofika altareni si unajua nina first aid kit na leso za kutosha. Ila a shoulder to lean on ndo sina yaani itabidi nkutumie package ufanye self service 😀
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu.
Jambo pekee ninaloweza sema hapa ni pole sana kwa wakati mgumu unao upotia, maana nami niliwahi kupitia hii hali ingawa yangu ikikuwa keshi kubwa kuliko yako.
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu.
Jambo pekee ninaloweza sema hapa ni pole sana kwa wakati mgumu unao upotia, maana nami niliwahi kupitia hii hali ingawa yangu ikikuwa keshi kubwa kuliko yako.
Tena mkaamua kuweka huku na utu uzima wote huu
 
Back
Top Bottom