Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Ningepata mwanaume design yako anayejielewa hivi loh. I wish wanaume wangekuwa na mtazamo chanya hivo matatizo na machungu ya wengi yasingekuwepo
Cariha utampata tu, stay positive.

Nadhani tatizo kubwa ni kwamba wanadamu tumekua wabinafsi sana siku hizi.

Tukiachana na selfishness katika maisha in general tutakua katika position nzuri ya kuheshimu feelings za wengine. Empathy ni muhimu sana.

Ahsante sana kwa compliment, Cariha
 
Cariha utampata tu, stay positive.

Nadhani tatizo kubwa ni kwamba wanadamu tumekua wabinafsi sana siku hizi.

Tukiachana na selfishness katika maisha in general tutakua katika position nzuri ya kuheshimu feelings za wengine. Empathy ni muhimu sana.

Ahsante sana kwa compliment, Cariha
I'm always positive and calm,
Watu wabinafsi why hurting innocent soul for ur selfishness desires.
Ni Bora usi commit kwa yoyote Mana Kuna swala la mda na hao wadada wangekuwa na option nyingine maisha yaendelee, nowadays watu waongo no real love kila mtu anajiingiza robo, robo Kuna kuwa no sense of real love even enjoyment, I wish even 70% of people wangekuwa empathy at least dunia ingekuwa safe place.
 
Mimi ni muoaji haswaa ila tu nahitaji best choice

Sio wanawake wote wenye roho za visasi
Be careful with battle you want to start my dear, grow wise and learn from positive people, it's seems ur still mvulana though you fuvk two gelz.
 
Habari gani Watanzania wenzangu.

Naomba wadau mnisaidie ushauri wenu maana nipo njia panda. Mimi ni kijana umri miaka 30. Nina wanawake (mademu) wawili ambao nawapenda sana na kila mmoja ananipenda sana.

Kwakweli nimefanikiwa kuishi nao bila wao kujua kama ninawachanganya; nimedumu nao kwa miaka miwili sasa, na wote wananiamini sana na kila mmoja anaamini nitamuoa.

Sasa umefika wakati ambapo natakiwa nianze harakati za kuoa kama kumtambulisha mchumba kwa wazazi na kumchumbia. Napata wakati mgumu nimuache yupi na nimuoe yupi; wote ni wema sana kwangu na nakosa hata sababu ya ku-force ili nimuache mmoja

Wote ni wapole; nimesubiri mmoja anikosee nimuache lakini wapi, na ninapoelekea nakarbia kubambwa kwa ujinga niliowafanyia. Sasa nitumie kigezo gani kumuacha mmoja nibaki na mmoja nimuoe?

Naombeni msaada au nitumie kigezo gani ambao nitapata sababu ya kumuacha mmoja wao maana naona naaibika sio mda mrefuu.
A girl to marry?

You should use wisdom man, that's a natural institution your going to have. That's the future. One shouldn't only be smart when deciding, use wisdom.

That whole time you've lived with them means you know them very well.

I only consider this order may help choosing good wife otherwise if you wanna use your emotions then do what you think.

One who;
1. Have faith in God (do not confuse with "everybody worshiping and attending that building in that every day)
2. Loves you ( she shouldn't love your property, wealth, career, you'll suffer because material lasts, souls love doesn't)
3. Loves your parents (She at least show signs of asking you a well-beingness of your parents if not your home family, curious about your background status and parents, this will make her love you and your life and people around you will be her people's too)

Then thank the Heavens later while in your 70th marriage anniversary
 
Word
In the first place you are just a selfish nigga

You are such an idiot that you are playing with two of them.

You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.

Don’t You have your self respect?

How can you do such shit and without guilt you are roaming around?

Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?

Do you even think just for once for being such a jerk?

I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.

Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!

And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.

God knows how you look at yourself.
 
😅 😅 😅
tuanze kuwa follow wedding planners wote wa IG..!!
Me nilikua nmeanza kupitia page za MUA hapa, hyo siku lazima utokee kama malkia flani hivi.
Na MC nishajua tumchukue yupi + venue. Nadhani hadi kesho jion mipango yote itakua imekamilika itabaki kusubiria tu hyo siku yenyewe.
 
In the first place you are just a selfish nigga

You are such an idiot that you are playing with two of them.

You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.

Don’t You have your self respect?

How can you do such shit and without guilt you are roaming around?

Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?

Do you even think just for once for being such a jerk?

I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.

Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!

And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.

God knows how you look at yourself.

One of the worst thing to do in life is blaming or judging someone for making a wrong choice or chose a certain path in life. Hakuna ambaye hajapitia hiyo stage or situation regardless of how small or big it was..

Pia Moja ya vitu common ni kuwa wote huwa tuna REASONS za kufanya hayo japo ni wachache huja mbele na kujua wapo wrong na kuchukua full responsibility of their actions....

Ok MR "RIGHT", jamaa kashajua what he did was WRONG na pengine mwanzoni hakujua situation atakayokuja kukutana nayo na ndio maana hadi sasa yupo GUILTY na anatamani kupata SOLUTION ambayo haitomuumiza mtu.

That only should tell you how good he is in person, wengine wasingejali so long as wanajali furaha zao. So , he is here seeking for an advice that 'll make a situation a bit easier for EVERYONE japo ni ngumu maana lazma mtu mmoja AUMIZWE.
 
Me nilikua nmeanza kupitia page za MUA hapa, hyo siku lazima utokee kama malkia flani hivi.
Na MC nishajua tumchukue yupi + venue. Nadhani hadi kesho jion mipango yote itakua imekamilika itabaki kusubiria tu hyo siku yenyewe.
Hivii Bw. Kharusi ana taarifa lakini..? tusije toleshwa machozi siku ya kharusi tukharibu make-up zetu.! 😂
 
Back
Top Bottom