Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Unaweza pia kurusha shilingi na kuona itaangukia upande wa nani. Kama dini yako inaruhusu, oa wote wawili. Itapendeza kama utafunga ndoa nao siku moja. Hiyo itakupunguzia gharama za harusi.
 
Kajirekebishe kwa MUNGU siyo kwetu. Watu watakusaidia nini sasa kwa dhambi zako,wanaume tukifanyaga makosa juu ya mambo haya tunayamalizaga kiume sisi wenyewe,kweni hukuumbiwa hekima na akili? Hili husaidiwi na watu,ni wewe mwenyewe.
Mbona nimeshauriwa mambo yamaana mengi tu na wanaume wenzangu Tena mengine hata sikufikiria Kama yangefaa, baada ya stage hii itafuata stage ya kuamua mwenyewe zipi pumba na zipi mchele na kuchukua maamuzi. Punguza ubinafsi mkuu
 
Ndo hapo sasa, em changamka. Kama vipi zama PM sis ake, maana huku anaweza asione comment yako mapema😂😂
😂 😂 😂
Kwenye hizi fursa mimi ni kama mchaga na hela, ushauri wako naufanyia kazi walaqhi'..!

Pep nakuja niandalie makao.!
 
Hakikisha wanajuana au wagonganishe pamoja atakae kusamee huyo ndio mke anaweza kuvumilia makosa yako na kukuheshimu
Ushauri mzuri lakini umeasume kuwa sababu zingine zipo constant

Hujawaza Kama watapigana wauwane

Au mmoja ataumia sana akajiua

Au wakaamua kunichangia na kunijeruhi

Au wakaniacha nikawakosa wote
 
Unaonyesha wazi una matatizo..hautakua salama
Mbona nimeshauriwa mambo yamaana mengi tu na wanaume wenzangu Tena mengine hata sikufikiria Kama yangefaa, baada ya stage hii itafuata stage ya kuamua mwenyewe zipi pumba na zipi mchele na kuchukua maamuzi. Punguza ubinafsi mkuu
 
Bro, umeoa???
Kama bado 'yes I do'..! 😀
Ahsante kwa complement Carleen

Kiukweli sijaoa, ila nipo kwenye mahusiano sugu tangu 2014😀.

Nimepitia nyuzi zako za nyuma Carleen, trust me...wewe ni full package; good brain, charisma & bila shaka you beauty (Japo hapa kila mmoja ana mtazamo wake) kama bado hayupo ndugu yangu, I promise you...ni suala la muda tu
 
Hujaona wala kusikia mambo ya kutisha wanayofanyiwa wanaume wenzangu Tena kuliko Haya?

Ubaya hauna jinsia wapo wanaume wema sana pia wapo wanawake manyang'au Bora hata mimi
Kwahiyo hapo unajiona Wewe Bora?
 
Ahsante kwa complement Carleen

Kiukweli sijaoa, ila nipo kwenye mahusiano sugu tangu 2014😀.

Nimepitia nyuzi zako za nyuma Carleen, trust me...wewe ni full package; good brain, charisma & bila shaka you beauty (Japo hapa kila mmoja ana mtazamo wake) kama bado hayupo ndugu yangu, I promise you...ni suala la muda tu
😍 😍
Wait a minute Pep kwahiyo wamaanisha nianze kuandaa kadi za mchango wa kharusi.??😂😂
 
Chagua mwenye tako kubwa zaidi ya mwenzie. Kigezo hiki ndio kimebaki

Hapana mzee mwenye tako kubwa ndio aachwe abiki kuwa mchepuko. Maana hawa wote ni mahawara na hawawezi achana sasa bora hawara amzidi tako mkeo
 
Ushauri mubovu huu asijaribu awaache kimya, wewe ungefanyiwa hvo ungefurahi. Hapo hawapendi wote, aachanr nao in peace Kuna Leo na kesho, angekuwa muoaji asingejifikiria hvo. Hafu mtu kukaa kimya haimaanishi kakusamehe wanawake hulipiza ndoani wakati umezama
Mimi ni muoaji haswaa ila tu nahitaji best choice

Sio wanawake wote wenye roho za visasi
 
Back
Top Bottom