Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

In the first place you are just a selfish nigga

You are such an idiot that you are playing with two of them.

You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.

Don’t You have your self respect?

How can you do such shit and without guilt you are roaming around?

Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?

Do you even think just for once for being such a jerk?

I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.

Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!

And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.

God knows how you look at yourself.
Kiingereza chako kilaini hadi raha
 
Awaache hao wanawake waende kwa wanaume wanaostahili kupewa huo upendo.
Huyu hastahili kabisa na anapaswa akae hivyohivyo mwenyewe maana hajitambui.
Unaweza kuta hata hao ma mAnz wana plan B zao wako kwenye game ya kupima upepo kama vile jamaa anavyofanya.

We ngoja awaache tu, ghafla utaskia wanaolewa fasta ndio utajiuliza imekuaje?
Kumbe na wao wanavi bomu vyao sema wanamsklizia tu jamaa
 
Unaweza kuta hata hao ma mAnz wana plan B zao wako kwenye game ya kupima upepo kama vile jamaa anavyofanya.

We ngoja awaache tu, ghafla utaskia wanaolewa fasta ndio utajiuliza imekuaje?
Kumbe na wao wanavi bomu vyao sema wanamsklizia tu jamaa
Wanawake zake ukute na yeye kapangwa watano hivi Hili life usimwamini mtu
 
But majority of them wallah
Kwa hili sikubaliani na wewe mkuu.
Binadamu hubadilika na hata mimi nimebadilika sana tu, sio tena yule wa matukio. Nimekuwa baba mzuri, mume mwema na ninampenda Mungu
 
Oa wote...wakikataa waache wote
Mkuu, hii kitu kama haijawahi kukupata unaweza ichukulia poa.
Binafsi ninamuelewa sana mleta mada, na hii hali inaweza sababisha ukatamani hata dunia ipasuke utoweke aiseeeeee
 
Mkuu

Ni muhimu sana umegundua hiyo guiltiness. Ni 1st step kuelekea kupata ufumbuzi.

Sasa basi, tukirudi katika ukweli, hapo katika wanawake wawili hakuna hata mmoja anafaa kuwa mke wako.

Nadhani masula ya ndoa yanatakiwa yaje natural sana kutoka moyoni mwako. Sasa kama wewe upo neutral tu kwamba unaweza muoa yeyote kati ya hao hiyo ni indication ya kwanza kwamba hakuna wakwako hapo.

Solution

Saikolojia inaonesha watu hu respond positively mambo mabaya ya kuwaumiza pale wanapokua wengi kuliko mmoja mmoja (wanasema msiba wa wengi ni harusi)

Kwa minajili hiyo basi, wakutanishe hao watoto wazuri wote kwa pamoja, uwaeleze ukweli. Itakua disappointment kwao ila psychologically itawasaidia wakigundua kwamba WOTE WAWILI walikua deceived.

Pia, hilo litawafanya wakuone ‘kiumbe cha ajabu’, watakapokuona hivyo, pain itageuka kuwa hate.

Mwisho, kilicho trigger hasira zangu hapa sio wewe ku cheat (ku cheat kunaweza tokea, japo sio jambo zuri….ila sasa hiili ni suala private la mtu na mtu depending unaheshimu vipi mahusiano yako, na unaweza vipi kucontrol hisia zako), suala la wewe ku promise ndoa kwa wote wawili hilo ndilo baya sana, inawezekana kuna wana kadhaa hao wanawake wamewakataa kwasababu tu ya kusubiri NDOA HEWA yako.

Kwa msingi huo hapo juu, I am very sorry chief kama nimeku attack sana. No offence intended ndugu yangu akili kijiko
Power of wisdom💪
 
Unaweza kuta hata hao ma mAnz wana plan B zao wako kwenye game ya kupima upepo kama vile jamaa anavyofanya.

We ngoja awaache tu, ghafla utaskia wanaolewa fasta ndio utajiuliza imekuaje?
Kumbe na wao wanavi bomu vyao sema wanamsklizia tu jamaa

😂😂😂
Unataka kusemaje kaka
 
Back
Top Bottom