Same to you mkuuBest of luck in ur life
Mkuu, sio samaki mmoja akioza basi ni wote. Makosa yapo tu, na binadamu hubadilika aminiIla nilichojifunza wanaume Kuna vitu huwa hamkui aisee
Kiingereza chako kilaini hadi rahaIn the first place you are just a selfish nigga
You are such an idiot that you are playing with two of them.
You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.
Don’t You have your self respect?
How can you do such shit and without guilt you are roaming around?
Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?
Do you even think just for once for being such a jerk?
I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.
Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!
And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.
God knows how you look at yourself.
Unaweza kuta hata hao ma mAnz wana plan B zao wako kwenye game ya kupima upepo kama vile jamaa anavyofanya.Awaache hao wanawake waende kwa wanaume wanaostahili kupewa huo upendo.
Huyu hastahili kabisa na anapaswa akae hivyohivyo mwenyewe maana hajitambui.
But majority of them wallahMkuu, sio samaki mmoja akioza basi ni wote. Makosa yapo tu, na binadamu hubadilika amini
Wanawake zake ukute na yeye kapangwa watano hivi Hili life usimwamini mtuUnaweza kuta hata hao ma mAnz wana plan B zao wako kwenye game ya kupima upepo kama vile jamaa anavyofanya.
We ngoja awaache tu, ghafla utaskia wanaolewa fasta ndio utajiuliza imekuaje?
Kumbe na wao wanavi bomu vyao sema wanamsklizia tu jamaa
Sis 😂😂😂😂🏃🏃Bro, umeoa???
Kama bado 'yes I do'..! 😀

Kwa hili sikubaliani na wewe mkuu.But majority of them wallah
Mkuu, hii kitu kama haijawahi kukupata unaweza ichukulia poa.Oa wote...wakikataa waache wote
Dada tuchat 😂nacheka lakini naumia
Mkuu, amini ninakuambia mleta mada anapata maumivi na yupo kwenye wakati mgumu sanaHuyo jamaa mleta uzi ndio inabid a apologize
aisee nimekumissDada tuchat 😂
Power of wisdom💪Mkuu
Ni muhimu sana umegundua hiyo guiltiness. Ni 1st step kuelekea kupata ufumbuzi.
Sasa basi, tukirudi katika ukweli, hapo katika wanawake wawili hakuna hata mmoja anafaa kuwa mke wako.
Nadhani masula ya ndoa yanatakiwa yaje natural sana kutoka moyoni mwako. Sasa kama wewe upo neutral tu kwamba unaweza muoa yeyote kati ya hao hiyo ni indication ya kwanza kwamba hakuna wakwako hapo.
Solution
Saikolojia inaonesha watu hu respond positively mambo mabaya ya kuwaumiza pale wanapokua wengi kuliko mmoja mmoja (wanasema msiba wa wengi ni harusi)
Kwa minajili hiyo basi, wakutanishe hao watoto wazuri wote kwa pamoja, uwaeleze ukweli. Itakua disappointment kwao ila psychologically itawasaidia wakigundua kwamba WOTE WAWILI walikua deceived.
Pia, hilo litawafanya wakuone ‘kiumbe cha ajabu’, watakapokuona hivyo, pain itageuka kuwa hate.
Mwisho, kilicho trigger hasira zangu hapa sio wewe ku cheat (ku cheat kunaweza tokea, japo sio jambo zuri….ila sasa hiili ni suala private la mtu na mtu depending unaheshimu vipi mahusiano yako, na unaweza vipi kucontrol hisia zako), suala la wewe ku promise ndoa kwa wote wawili hilo ndilo baya sana, inawezekana kuna wana kadhaa hao wanawake wamewakataa kwasababu tu ya kusubiri NDOA HEWA yako.
Kwa msingi huo hapo juu, I am very sorry chief kama nimeku attack sana. No offence intended ndugu yangu akili kijiko
Unaweza kuta hata hao ma mAnz wana plan B zao wako kwenye game ya kupima upepo kama vile jamaa anavyofanya.
We ngoja awaache tu, ghafla utaskia wanaolewa fasta ndio utajiuliza imekuaje?
Kumbe na wao wanavi bomu vyao sema wanamsklizia tu jamaa
Miss you too dada 😘aisee nimekumiss
Dont trust anyone😂😂😂
Unataka kusemaje kaka