Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Sasa nifanyeje na tayari nimesha haribu kwahiyo sistahili kuishi au kusamehewa na kupewa nafasi ya kurekebisha makosa yangu?
Tubu waache wote Anza upya huwapendi wote waongozwa na nyege huwezi kupenda vitu viwili kiasi Cha usawa kila mtu ni unique iweje uwapende wote . Nyie wanaume kwa kujitaftia laana, ukute wadada wa watu wanakupikia, kukufuia wakifikiria ndoa
 
Hiv inakuaje mtu ana buy huu ujinga wa "nitakuoa"???
Mm sijawah aisee.
Hata mke wangu tu sikuwah kumuahid kama nitamuoa.
Mwanaume anayetongoxa gia ya ndoa ni tapeli aisee mana Hilo jambo huja automatic.
Pia tujifunze kutokuji commit kwa mtu yoyote maana unakuwa na Deni.

Do not commit to anyone by Robert Greene 48 laws of power.
 
Hafu wenzie nao wapo kumjaza mashudu tu.
Yaani wao hili hawaoni Kama ni kosa,wanaona sawa tu
Me nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.
 
In the first place you are just a selfish nigga

You are such an idiot that you are playing with two of them.

You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.

Don’t You have your self respect?

How can you do such shit and without guilt you are roaming around?

Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?

Do you even think just for once for being such a jerk?

I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.

Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!

And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.

God knows how you look at yourself.
Ningepata mwanaume design yako anayejielewa hivi loh. I wish wanaume wangekuwa na mtazamo chanya hivo matatizo na machungu ya wengi yasingekuwepo
 
Me nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.
Mwanaume hajakuwa matured atawatesa bure na wakijua watamubwaga
 
Unapotoa ushaur kuna namna mbili kuukataa au kuukubali huu ushaur ni mbovu kwako kwangu ndio nimeona uko vr
Ushauri mwingine una mislead watu ujue wengi tumeona scenario ya mleta mada kwa watu tofauti na Sasa kwao ni majuto, Bora kumuacha mtu kimya kuliko ugomvi maana akiingia kwenye ndoa ya udanganyifu amani itatoka wapi, maana na yeye ataanza kudaganywa, Bora mtu usijue uongo wake mpaka mbeleni ukiwa mumeshachokana. Kula leo na kesho pia reactions differ. Kwanini uumize mwingine Wana ume muwe mnafikiria mbele vizuri.
Mimi mwenyewe huwa siachani kwa kugombana na ukata kimya kimya
 
Mwanaume anayetongoxa gia ya ndoa ni tapeli aisee mana Hilo jambo huja automatic.
Pia tujifunze kutokuji commit kwa mtu yoyote maana unakuwa na Deni.

Do not commit to anyone by Robert Greene 48 laws of power.
Kabisaa.
Plz share hiyo link ya hicho kitabu boss
 
Me nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.
Hata mimi nimewaonea huruma sana
 
Mwanaume hajakuwa matured atawatesa bure na wakijua watamubwaga
Kwa hii situation, angesitisha tu swala la kuoa kwanza hadi pale atakapojitambua anahitaji nini kwenye ndoa.
 
Mkirogwa mnalalamika..acha watoto wa watu huwastahili..jinga weh
Na umsubiri binamu karma akufundishe adabu.
 
Very matured advance nitafanyia kazi hili mkuu Asante sana ila nahofia kesi maana hapo na deal na hisia za mtu aliyependa tena Yuko very serious, anaweza kujidhuru au kunidhuru Mimi au kunidhuru aliyechaguliwa
Dah... Nakuonea huruma sana mwanangu!

Sasa fanya hivi.,
Fanya juu chini wajuane kwamba wapo 2, alafu wakishaanza kuvurugana lazima mmoja wapo ataachia ngazi bila kumwambia.

Ila nawaonea huruma sana hao wadada, najaribu ku imagine atapokeaaje kitakachotokea
 
Back
Top Bottom