nisaidieni na hili

oldd vampire

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
253
52
wana jf doctor,tatizo langu ni hili sijawahi fika orgasm tangu nianze kufanya mapenzi..na si kwamba mpenzi wangu haniandai vizuri hapana.yani inafikia kipindi tupo kusex nakua km nakarbia fika orgasm lakini ghafla ile hali inakata...je ninatatizo gani?mana nimesha uliza sana nikaambiwa nina upungufu wa hormone je ni kweli?
 
wana jf doctor,tatizo langu ni hili sijawahi fika orgasm tangu nianze kufanya mapenzi..na si kwamba mpenzi wangu haniandai vizuri hapana.yani inafikia kipindi tupo kusex nakua km nakarbia fika orgasm lakini ghafla ile hali inakata...je ninatatizo gani?mana nimesha uliza sana nikaambiwa nina upungufu wa hormone je ni kweli?

Pole sana ukipata nafasi NIPM nikupe maujanja na ili kujua yamework itabidi nikutest kwanza.
 
.........pole sana, sasa kama hufiki orgasm unaenjoy vp mchezo? Mimi nadhani wewe mwenyewe hujiandai vya kutosha kiakili. Kipindi cha mchezo inabidi akili yako yote uweke pale usiwaze kitu kingine.
 
Mwambie mkunaji akushukie (uvinza), akya-nani lazima urudishe jibu humu. Ila asiwe anaona kinyaa. Believe me Kama nyumba yako haina ddari majirani watasikia unavyonena kwa Lugha. Just give it a try, usiangamie kwa kukosa maarifa.
 
wana jf doctor,tatizo langu ni hili sijawahi fika orgasm tangu nianze kufanya mapenzi..na si kwamba mpenzi wangu haniandai vizuri hapana.yani inafikia kipindi tupo kusex nakua km nakarbia fika orgasm lakini ghafla ile hali inakata...je ninatatizo gani?mana nimesha uliza sana nikaambiwa nina upungufu wa hormone je ni kweli?

Nafikiri ungepeleka kule kwa wakubwa ungejibiwa vizuri zaidi si unajua kule kuna wataalamu tena kwa uwazi utapata utakacho.
hapa unaweza usifikie lengo.
 
wana jf doctor,tatizo langu ni hili sijawahi fika orgasm tangu nianze kufanya mapenzi..na si kwamba mpenzi wangu haniandai vizuri hapana.yani inafikia kipindi tupo kusex nakua km nakarbia fika orgasm lakini ghafla ile hali inakata...je ninatatizo gani?mana nimesha uliza sana nikaambiwa nina upungufu wa hormone je ni kweli?

Tafiti nyingi zimefanyika kuhusu suala la orgaism kwa wanawake (na wanaume pia). Tafiti zinaonesha kuwa mpaka asilimia 50% au zaidi ya wanawake hawapati orgaism katika hali ya kawaida, na hao wanaopata orgaism wachache sana 15% au pungufu kati yao hufikia kupitia kuingiliwa ukeni, baadhi hupata kupitia clitorial stimulation, baadhi yao kuchezewa matiti au nywele au makalio au mapaja au kukandwa mgongoni au kimoja kati ya hivyo au vyote!
Na hao wanaopata orgaism kwa kuchezewa sehemu fulani ya mwili nao hawako sawa. kwa mfano kuna wengine wanapata orgaism kwa kunyonywa matiti lakini mwingine naye anapata orgaism kupitia matiti lakini siyo kwa kunyonywa bali kwa kupapaswa matiti!!! Na hata hao wanaopata orgaism kwa kuingiliwa na uume nao hawako sawa, wapo wanaopata orgaism kwa kuingiliwa juu juu tu, wapo wanaopata kwa deep penetration, wangine kwa medial penetration. Na tena wengine wanapata orgaism kwa kuingiliwa poolepole, wengine kwa forcefull thrusting!

Na tena wale wanaopata orgaism wengine wanapata katika sekunde chache za mchezo na wengine huchukua dakika kadhaa au masaa kadhaa ua hata siku kadhaa. Na tena wengine wanapata orgaism nyingi kwa tendo moja wakati kuna wengine wangine wanambulia orgaism moja tu kwa tendo.

Kwa ufupi ni kuwa wanawake hawako sawa katika kuifaidi ngono! (Na wanaume pia) Hivyo huna tatizo isipokuwa usijilinganishe na wanawake wengine na usijaribu kumuiga mwanamke mwingine. Bahati mbaya sana na wanaume wengi hudhani wanawake wako sawa hivyo hujaribu kutumia formula moja kwa kila mwanamke!

Hata hivyo kwa maelezo yako (kuwa kuna wakati unahisi halafu inapotea) naamini wewe ni miongoni mwa wale wanaopata orgaism, hivyo jaribu kutafakari ni wakati gani unahisi hivyo hali, ni wakati wa deep penetration? or superficial, or non genital stimulation, or at which position etc.

Wapo wanawake wanapata orgaism sasa baada ya ndoa ya zaidi ya miaka 20!!!! Achana na habari ya upungufu wa hormone. Jipeleleze mwenyewe ukishirikana na mwenzako na utafaidi vizuri.
Samahani kwa maelezo marefu.
 
Back
Top Bottom