Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,127
- 2,945
Kwa kuwa ulifunga kanisani HIVYO jiandae yafuatayo, MOSI, Hutafunga ndoa NYINGINE Kanisani Mahala popote Duniani MAISHA yako yote labda hadi pale mkeo atakapokuwa amefariki ndo utaweza kufungua ndoa kanisani. PILI, Ujiandae Kutengwa na Kanisa na kwa kutokushiriki kalamu ya Bwana MAISHA yako yote popote Duniani. TATU, Ndoa utakayofunga itakuwa Ama ufunge ya KIMILA, KISERIKALI,AU UBADILI DINI UFUNGE KWA IMANI YA DINI NYINGINE, AU MUAMUE KUISHI BILA NDOA MAISHA YAKO YOTE. KUPANGA NI KUCHAGUA,KILA LA HERI.