Nisaidie kisheria kuvunja ndoa

Hamia dini ileee kwa muda kama Mtatiro. Hii itakusaidia kutatua na kumaliza matatizo yako, na kisha utarejea kwenye imani yetu kama kawaida.
 
Mnapendaga kujipa complication bila sababu,maisha yenyewe mafupi haya unapata wapi mda wa kuwaza namna ya kuvunja ama kutovunja ndoa?

Ndoa is meaningless,we vuta weka ndani maisha yaendelee.
Au kama vip niPM NIJE NIKUSILIMISHE,
Tuone huyo mwanamke atakuja kudai ndoa kwa misingi ipi
 
Mkuu,

1. Nenda kwenye Baraza la usuluhisho ambalo lipo hapo kanisani kwako ili kusuluhishwa wewe na mwenzako.

2. Ikiwa usuluhishi utashindikana, Baraza hilo litatoa cheti cha kuthibitsha kushindikana kwa usuluhishi.

3. Baada ya kupata cheti hicho, utaenda mahakama ya wilaya kufungua shauri la kuvunja ndoa yenu.

4. Katika shauri lako utahitaji nyaraka kama vile cheti cha ndoa yenu, maelezo yenye ushahidi wa matatizo mliyopitia hadi kupelekea kufanya uamuzi wa kutaka kuvunja ndoa yenu, cheti cha Baraza nilichotaja hapo juu, maelezo kuhusu mgawanyo wa mali, kama zipo, n.k.

5. Baada ya shauri lako kusikilizwa na hukumu kutolewa, kama utashinda ktk shauri lako, basi, utachukua nakala ya hukumu na tuzo ya mahakama (judgment and decree) na kuiwasilisha RITA kwa usajili wa talaka yenu.

6. Baada ya kuwasilisha judgment and decree, RITA watatoa Cheti cha Talaka (Certificate of Divorce) ili kuthibitisha ndoa yenu haipo tena.

Kila la heri.
uko sawa mkuu lakini mahakama ni ya mwanzo sio ya wilaya
 
Mkuu,

1. Nenda kwenye Baraza la usuluhisho ambalo lipo hapo kanisani kwako ili kusuluhishwa wewe na mwenzako.

2. Ikiwa usuluhishi utashindikana, Baraza hilo litatoa cheti cha kuthibitsha kushindikana kwa usuluhishi.

3. Baada ya kupata cheti hicho, utaenda mahakama ya wilaya kufungua shauri la kuvunja ndoa yenu.

4. Katika shauri lako utahitaji nyaraka kama vile cheti cha ndoa yenu, maelezo yenye ushahidi wa matatizo mliyopitia hadi kupelekea kufanya uamuzi wa kutaka kuvunja ndoa yenu, cheti cha Baraza nilichotaja hapo juu, maelezo kuhusu mgawanyo wa mali, kama zipo, n.k.

5. Baada ya shauri lako kusikilizwa na hukumu kutolewa, kama utashinda ktk shauri lako, basi, utachukua nakala ya hukumu na tuzo ya mahakama (judgment and decree) na kuiwasilisha RITA kwa usajili wa talaka yenu.

6. Baada ya kuwasilisha judgment and decree, RITA watatoa Cheti cha Talaka (Certificate of Divorce) ili kuthibitisha ndoa yenu haipo tena.

Kila la heri.
Unajuwa mpaka unatisha mkuu
 
Ukanjanja haufai
Sijaona mantiki yakutaka kuvunja ndoa
Labda km unataka msaada kuhusu separation ambayo haina maana ya kuvunja ndoa(divorce)
 
Mkuu,

1. Nenda kwenye Baraza la usuluhisho ambalo lipo hapo kanisani kwako ili kusuluhishwa wewe na mwenzako.

2. Ikiwa usuluhishi utashindikana, Baraza hilo litatoa cheti cha kuthibitsha kushindikana kwa usuluhishi.

3. Baada ya kupata cheti hicho, utaenda mahakama ya wilaya kufungua shauri la kuvunja ndoa yenu.

4. Katika shauri lako utahitaji nyaraka kama vile cheti cha ndoa yenu, maelezo yenye ushahidi wa matatizo mliyopitia hadi kupelekea kufanya uamuzi wa kutaka kuvunja ndoa yenu, cheti cha Baraza nilichotaja hapo juu, maelezo kuhusu mgawanyo wa mali, kama zipo, n.k.

5. Baada ya shauri lako kusikilizwa na hukumu kutolewa, kama utashinda ktk shauri lako, basi, utachukua nakala ya hukumu na tuzo ya mahakama (judgment and decree) na kuiwasilisha RITA kwa usajili wa talaka yenu.

6. Baada ya kuwasilisha judgment and decree, RITA watatoa Cheti cha Talaka (Certificate of Divorce) ili kuthibitisha ndoa yenu haipo tena.

Kila la heri.
Good
Ila siyo mahakama ya wilaya ni ya mwanzo
 
Ndoa ya kikristo haina talaka lakini
Kaka mshana talaka ama kutengua ndoa ipo mkuu,
Nimepitia hili na limeisha na sasa nnasubiri 40 days nkachukue cheti cha talaka,hata kanisani zipo sababu zinazopelekea kutengua ndoa,zipo ndoa zinakuwa batili since day one,na kwa kutojua ndoa nyingi ni batili tangu kufungwa kwake,kaka nnapitia hili nimejifunza mengi sana,na mambo ni tofauti sana na tunavodhani huku mtaani
 
Grounds for divorse iwe genuine! Yangu ilivunjika na mahakama ikamalizia kwa kusema hivi.
"This marriage has broken irretrievable"
Maana yake itenguliwe kwa kuwa imeshavunjika.
Then within 2 months x mr wangu kaoa na within 6 months nami nikampata aliyenifaa.
Note: kama imeshavunjika basi kafungue file la talaka, kama ina mgogoro basi mkutane mzungumze na kusameheana. Do'nt rush, think twice. Shirikisha kiongozi wako wa dini.
Bless up keep on dropin wise tings,
Mm nimepitia hili na limeisha mwezi huu,nimejifunza mengi sana na mambo yapo tofauti sana nabtunavodhani mtaani,binafsi wa kwangu alikuwa anafanya visa makusudi huku akijitapa kuwa atanitesa mpaka kufa maana yy ni msalaba wangu na hakuna mahakama inaeza vunja ndoa hii,hata mahakamani aligoma talaka,lkn sheria iliona nabikaridhia kutengua ndoa,sijaoa maana nnaogopa kuingia kwenye pini ile ile,nimeamua kukaa na wanangu tu,mengine Mapenzi ya Mungu yatimie
 
Siyo hakuna sababu,hajatoa sababu,
Unaongelea legal separation?
Kwny mambo ya sheria huwa hamna kuongeza jambo ambalo halipo.
Kama jambo hilo hajaliweka bayana huwezi ukaanza kutunga kwamba kitu hicho kipo.
Indeed naongelea legal separation kwa maana huwezi ukakimbilia divorce wakat hamna hata legal separation
 
Back
Top Bottom