ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,564
- 119,624
Waarabu na wazungu wametutia upofu na ujinga ambao hatuwezi kujinasua. Wenyewe kuna vitu wameleta lakini hawavifanyi huko kwao.
Maisha ya kuunga lakini unajibebesha mizigo ya kujitakia. TV, cable unanunua kwa kuunga then unadhani tayari pesa imekupitia.
Hizi imani...
Maisha ya kuunga lakini unajibebesha mizigo ya kujitakia. TV, cable unanunua kwa kuunga then unadhani tayari pesa imekupitia.
Hizi imani...
! Hivi ulioa mke wa pili kwasababu kipato kimeongezeka? Imani inaruhusu? au kweli kuna ulichokosa kwa huyo wa kwanza ambacho unakipata kwa wapili? Yaani umepata tu kazi ukaongeza mke je hao watoto watakaozaliwa utamudu kuwapatia huduma muhimu ikiwemo elimu bora huku ukilea wake wawili? Nadhani baadhi ya wanaume mfike mahali mpunguze ubinafsi! Pamoja nakuwa imani inaruhusu kuoa wake zaidi ya mmoja ufikirie zaidi ya hiyo starehe utakayopata toka kwa hao wanawake! You need to see beyond having two or three women sitting around all paying attention on your happiness
!