Nisadieni ndoa yangu inavunjika

Nisadieni ndoa yangu inavunjika

Waarabu na wazungu wametutia upofu na ujinga ambao hatuwezi kujinasua. Wenyewe kuna vitu wameleta lakini hawavifanyi huko kwao.

Maisha ya kuunga lakini unajibebesha mizigo ya kujitakia. TV, cable unanunua kwa kuunga then unadhani tayari pesa imekupitia.

Hizi imani...
 
Watu kama nyinyi siku zote mnataka kuhalalisha utashi wenu kwa kisingizio cha kuwa dini inaruhusu.
Jee yale mambo ambayo dini inakataza tunayafuata??? Haingii akilini kwa kuwa kwa yale ambayo ni utashi wenu mnayatilia nguvu lakini yale ya utashi wa mungu kwetu hatuyatilii maanani na hii maana yake ni UNAFIKI MTUPU na kesho kwa mola tutaipata fresh na hakuna rufaa.
 
Inawezekana
Habari zenu JF,

Ukweli mimi ni muislamu mwenye miaka 30 nimeoa mke mwaka 2007 na niko na watoto 2.

Shida toka naoa nilikuwa na maisha mabovu kiasi ila nilimuambia mke wangu siku zikinitembelea japo kwa uchache naoengeza mke wa 2 na kwa kua dini inaniruhusu.

Muda wote huo mke wangu hakuonyesha kutetereka na maneno yangu hadi ikawa ananiuliza vipi utafanya lini huo mpango wako na kuniambia nifanye ila nadhani alikuwa ananiambia kwa kua sikuwa na uwezo, Mungu mkubwa akanipa kiajira mwaka 2014 hali ikawa afadhali nikamuambia mke wangu nikimuona ataerizika namuoa hapa alionesha kutetereka maana alijua muda umekaribia masharti yakaja kama nikimuona basi mahari ya huyo nitakaemuoa na yeye nimpe hayo nikamjibu sawa.

Siku nilipompata nikadaiwa kitanda, godoro, kabati na dresing basi nikaanza kununua vya mke wangu taratibu yeye hakujua kua natimiza miadi nikaongeza kwake kwa TV na Friza na Cable ili nikiwa zamu kwa mke mdogo vimliwaze.

Baaada ya kufanya hayo kwa usiri nikaoa tarehe 22/4/2016 mama yangu baaada ya kujua kawa mkali matusi mtindo mmoja malalamiko na kusema kuwa sikumtendea haki kila nikimpoza na kunasihi basi kama moto niliomwagia petroli anasema kanivumilia katika ziki leo namlipa hili.

Mke wangu kwa kweli nampenda sana hadi najilaumu kuyaamini maneno yake hadi najisikia vibaya sana kwa maneno yake na kufikiria kumuacha mke wa pili ila nimuacheje na yeye hana kosa lolote mimi ndio nilimchagua na pia ni mtoto mdogo nimuweke mjane itakuwa sijamtendea haki na nitakuwa nimejitia aibu.

Naombeni msaada ili nizungumze na wote wanielewe na mke mkubwa atulie ingawaje toka nioe nimekua nampenda sana mke mkubwa kuliko mdogo.
Ulioa kwa kuwa dini inaruhusu na si kwa sababu ya msingi ndo maana kuna shida hata kwako pia ushauri wangu hayo uliyapenda so fanya juhudi za kupatana na wote ili usimkosee yeyote na uwapende wote kwa usawa kwan kuzidisha kwa mmoja hutatenda haki.pia kaa na watu wenye wake wengi waulize wanamuduje hilo suala pole sana.nichangamoto ndogo sana.
 
Samahani mkuu, Hivi kwa nini waisilamu wenye asili ya kiarabu huwa hawaoi wake wawili au zaidi hovyo?, mara nyingi naona waislamu wenye asili ya kibantu ndo kutwa kuongeza wake.
Mila na desturi za kiafrika.
 
ha ha ha huko kutakuwa ukanda wa Pwani tu aisee.

Mchaga akipata kazi ya kamshahara kazuri anawaza kuongeza kamradi na kusomesha watoto wake shule nzuri, mtu wa Pwani akipata kikazi anawaza kuongeza mke wa pili, sasa ana watoto wawili hajawahi hata kujiuliza watasoma vipi, keshakimbilia kuongeza mke wa pili.

Usikute hata nyumba anayoishi ni ya vyumba vitatu kimoja chake, kingine cha watoto kingine ni sebule, hata kujenga labda hata hajajenga, leo anakimbilia kuoa mke wa pili?? kijana wa miaka 30??

Dah, aliyeturoga waafrika kweli alituweza na bahati mbaya kafa.....
Trump! Trump! Trump njoo hukuuu umsikie huyu..
 
Kwanza unatenda dhambi dini inataka uwapende wote sawa, jambo zuri n kuongea n mke mkubwa tu ,ww mweke chini kwa sababu ishatokea hamna tena jinsi nyingine
 
Habari zenu JF,

Ukweli mimi ni muislamu mwenye miaka 30 nimeoa mke mwaka 2007 na niko na watoto 2.

Shida toka naoa nilikuwa na maisha mabovu kiasi ila nilimuambia mke wangu siku zikinitembelea japo kwa uchache naoengeza mke wa 2 na kwa kua dini inaniruhusu.

Muda wote huo mke wangu hakuonyesha kutetereka na maneno yangu hadi ikawa ananiuliza vipi utafanya lini huo mpango wako na kuniambia nifanye ila nadhani alikuwa ananiambia kwa kua sikuwa na uwezo, Mungu mkubwa akanipa kiajira mwaka 2014 hali ikawa afadhali nikamuambia mke wangu nikimuona ataerizika namuoa hapa alionesha kutetereka maana alijua muda umekaribia masharti yakaja kama nikimuona basi mahari ya huyo nitakaemuoa na yeye nimpe hayo nikamjibu sawa.

Siku nilipompata nikadaiwa kitanda, godoro, kabati na dresing basi nikaanza kununua vya mke wangu taratibu yeye hakujua kua natimiza miadi nikaongeza kwake kwa TV na Friza na Cable ili nikiwa zamu kwa mke mdogo vimliwaze.

Baaada ya kufanya hayo kwa usiri nikaoa tarehe 22/4/2016 mama yangu baaada ya kujua kawa mkali matusi mtindo mmoja malalamiko na kusema kuwa sikumtendea haki kila nikimpoza na kunasihi basi kama moto niliomwagia petroli anasema kanivumilia katika ziki leo namlipa hili.

Mke wangu kwa kweli nampenda sana hadi najilaumu kuyaamini maneno yake hadi najisikia vibaya sana kwa maneno yake na kufikiria kumuacha mke wa pili ila nimuacheje na yeye hana kosa lolote mimi ndio nilimchagua na pia ni mtoto mdogo nimuweke mjane itakuwa sijamtendea haki na nitakuwa nimejitia aibu.

Naombeni msaada ili nizungumze na wote wanielewe na mke mkubwa atulie ingawaje toka nioe nimekua nampenda sana mke mkubwa kuliko mdogo.

Kaka ni udhaifu mkubwa kukubali kumuacha mkeo kisa maneno ya bi mkubwa hiyo ni nguvu ya soda onyesha uanaume wako na vipi huyo mtoto wa watu ukimuacha huoni ni doa kibwa kwake acha mambo hayo usiwe dhaifu kama ataamua kuondoka aondoke yy wewe kikubwa ni kua muadilifu tu kwa wote wawili
 
We lazima utakua mswahili mnawaza k.... tu!!
Kuna mswahili alitaka kumuoa dada yangu nilichokifanya ni kumuwaisha mbele ya haki tu maana sikua na jinsi ya kumsaidia ndugu yangu
 
Habari zenu JF,

Ukweli mimi ni muislamu mwenye miaka 30 nimeoa mke mwaka 2007 na niko na watoto 2.

Shida toka naoa nilikuwa na maisha mabovu kiasi ila nilimuambia mke wangu siku zikinitembelea japo kwa uchache naoengeza mke wa 2 na kwa kua dini inaniruhusu.

Muda wote huo mke wangu hakuonyesha kutetereka na maneno yangu hadi ikawa ananiuliza vipi utafanya lini huo mpango wako na kuniambia nifanye ila nadhani alikuwa ananiambia kwa kua sikuwa na uwezo, Mungu mkubwa akanipa kiajira mwaka 2014 hali ikawa afadhali nikamuambia mke wangu nikimuona ataerizika namuoa hapa alionesha kutetereka maana alijua muda umekaribia masharti yakaja kama nikimuona basi mahari ya huyo nitakaemuoa na yeye nimpe hayo nikamjibu sawa.

Siku nilipompata nikadaiwa kitanda, godoro, kabati na dresing basi nikaanza kununua vya mke wangu taratibu yeye hakujua kua natimiza miadi nikaongeza kwake kwa TV na Friza na Cable ili nikiwa zamu kwa mke mdogo vimliwaze.

Baaada ya kufanya hayo kwa usiri nikaoa tarehe 22/4/2016 mama yangu baaada ya kujua kawa mkali matusi mtindo mmoja malalamiko na kusema kuwa sikumtendea haki kila nikimpoza na kunasihi basi kama moto niliomwagia petroli anasema kanivumilia katika ziki leo namlipa hili.

Mke wangu kwa kweli nampenda sana hadi najilaumu kuyaamini maneno yake hadi najisikia vibaya sana kwa maneno yake na kufikiria kumuacha mke wa pili ila nimuacheje na yeye hana kosa lolote mimi ndio nilimchagua na pia ni mtoto mdogo nimuweke mjane itakuwa sijamtendea haki na nitakuwa nimejitia aibu.

Naombeni msaada ili nizungumze na wote wanielewe na mke mkubwa atulie ingawaje toka nioe nimekua nampenda sana mke mkubwa kuliko mdogo.
Ila mambo mengine kwakweli duh! Hivi ulioa mke wa pili kwasababu kipato kimeongezeka? Imani inaruhusu? au kweli kuna ulichokosa kwa huyo wa kwanza ambacho unakipata kwa wapili? Yaani umepata tu kazi ukaongeza mke je hao watoto watakaozaliwa utamudu kuwapatia huduma muhimu ikiwemo elimu bora huku ukilea wake wawili? Nadhani baadhi ya wanaume mfike mahali mpunguze ubinafsi! Pamoja nakuwa imani inaruhusu kuoa wake zaidi ya mmoja ufikirie zaidi ya hiyo starehe utakayopata toka kwa hao wanawake! You need to see beyond having two or three women sitting around all paying attention on your happiness !
I'm sorry if my comment offends you!
 
Dah ... bora mkeo ana mke mwenza 1 tu. Kuna wengine wanawenza (michepuko) zaidi ya hamsini
 
Kaka ni udhaifu mkubwa kukubali kumuacha mkeo kisa maneno ya bi mkubwa hiyo ni nguvu ya soda onyesha uanaume wako na vipi huyo mtoto wa watu ukimuacha huoni ni doa kibwa kwake acha mambo hayo usiwe dhaifu kama ataamua kuondoka aondoke yy wewe kikubwa ni kua muadilifu tu kwa wote wawili
Dah kweli bana, akomae kiume atatusua tu. Ugumu wa maisha ndiyo kipimo cha akili
 
Habari zenu JF,

Ukweli mimi ni muislamu mwenye miaka 30 nimeoa mke mwaka 2007 na niko na watoto 2.

Shida toka naoa nilikuwa na maisha mabovu kiasi ila nilimuambia mke wangu siku zikinitembelea japo kwa uchache naoengeza mke wa 2 na kwa kua dini inaniruhusu.

Muda wote huo mke wangu hakuonyesha kutetereka na maneno yangu hadi ikawa ananiuliza vipi utafanya lini huo mpango wako na kuniambia nifanye ila nadhani alikuwa ananiambia kwa kua sikuwa na uwezo, Mungu mkubwa akanipa kiajira mwaka 2014 hali ikawa afadhali nikamuambia mke wangu nikimuona ataerizika namuoa hapa alionesha kutetereka maana alijua muda umekaribia masharti yakaja kama nikimuona basi mahari ya huyo nitakaemuoa na yeye nimpe hayo nikamjibu sawa.

Siku nilipompata nikadaiwa kitanda, godoro, kabati na dresing basi nikaanza kununua vya mke wangu taratibu yeye hakujua kua natimiza miadi nikaongeza kwake kwa TV na Friza na Cable ili nikiwa zamu kwa mke mdogo vimliwaze.

Baaada ya kufanya hayo kwa usiri nikaoa tarehe 22/4/2016 mama yangu baaada ya kujua kawa mkali matusi mtindo mmoja malalamiko na kusema kuwa sikumtendea haki kila nikimpoza na kunasihi basi kama moto niliomwagia petroli anasema kanivumilia katika ziki leo namlipa hili.

Mke wangu kwa kweli nampenda sana hadi najilaumu kuyaamini maneno yake hadi najisikia vibaya sana kwa maneno yake na kufikiria kumuacha mke wa pili ila nimuacheje na yeye hana kosa lolote mimi ndio nilimchagua na pia ni mtoto mdogo nimuweke mjane itakuwa sijamtendea haki na nitakuwa nimejitia aibu.

Naombeni msaada ili nizungumze na wote wanielewe na mke mkubwa atulie ingawaje toka nioe nimekua nampenda sana mke mkubwa kuliko mdogo.
Ukome kabisa Wwke wawili WA nini , chepuka Tu Inatosha . Afu unaoa kisa Una ajira au dini inaruhusu !?
 
Duh umepata uwezo wa kununua fridge na Tv tu umeongeza mke wa pili siku ukipata uwezo wa kujenga nyumba nadhani utaongeza watatu kwa mpigo, umelikoroga acha ulinywe taratibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom