Nisadieni ndoa yangu inavunjika

Nisadieni ndoa yangu inavunjika

Ntoroboo......mkubwa ww, zama zimebadilika jaman, hata nguvu ya kuwashughulikia hao wanawake wawili na kazi ngumu unazozifanya utapata wapi? subiria wachepuke ndio akili ikukae sawa.
 
kwa kweli poleni wanawake mnao olewa mitala kama ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku hii kitu. ni chanzo kikubwa cha umasikini na migogoro katka ndoa
wakati huna kitu ulimuita malikia wako leo umepata kidogo unaenda kuoa unafikili yeye anamoyo wa chuma? alafu unasema unampenda na je yule wapili kumbe umemchukua tu kwa tamaa yeye akijua unampenda dhambi hiyo utatubu wapi ndugu

Jamani tubadilike
 
kwakweli sometimes muwe mnafikir kabla ya kutenda saa nyingine maamuzi mnayoyafanya mnawaumiza wake zenu usifanye kitu kwa kuiga hapo mke alitegemea atapata unafuu baada ya mume kupata kaz kumbe ndio kwanza mume hajitambui anachokifanya hakijui
Muwe mnatusamehe jamani daah!!
 
Huu ujumbe akiusoma atachanganyikiwa.
Tuanzie apo kwenye Tv, friza na cable umeweka kwa mke mkubwa tu imuliwaze ama na mke mdogo umemununulia?? Pili huna zaid ya miaka 2 kazini na umeongeza mke wa 2. Jiandae tu kuishi kama mzuka, usitarajie kuendelea kuona upendo na furaha kutawala maisha yako na mke mkubwa kama zamani. Hapo umejiongezea stress, pressure na kukarbisha uzeee. Ukimwacha mke mdogo hautabaki salama na mke mkubwa akiondoka pia hautabaki salama.
 
Mara nyingi ukishakuwa mtu wa.kupiga piga magoti mbele ya mkeo unapoteza thamani kwa mkeo taratibu mwisho wa siku heshima hamna. Najihadhari sana kuwa mtu wa kuchemka ktk maamuzi yangu ili nisipoyeze sifa hiyo.
Sasa jamaa kashachemka hata ukiomba msamaha siku nyingine wife naye anakutibua kwa expense ya kile ulichokosea akakusamehe.
jamani lazina kwanza tufahamu kua dini imeruhusu mke zaidi ya mmoja sio kwa sababu tu mmoja anamatatizo.bali hilo ni jambo lakimaumbile kutokana na asili ya maumbile ya mwanaume haridhiki na mmoja.sasa ili kuzuia uchepukaji ndio ukawekwa mlango huo kwa mtu muadilifu.kiukweli ndugu umekosea sana kwa maamuzi yako yaliyo na uchache wa tafakuri japo sio muda wakukulaumu sababu tayari ishatokea.chakufanya kwa sasa ni kukiri mbele ya mkeo kwamba umemkosea na jitahidi kumuonyesha mapenzi zaid.lakini pia lazima kutakua na ustadh au sheikh ambae anamkubali sana,jaribu kumuomba sheikh ampe nasaha natumai itasaidia.pia muombe mungu alete utulivu kwenye ndoa yenu.ila siku nyengine usiwe mtu wakukurupuka.
 
punguani na nusu wewe( kama ban poa) shenzi kabisa mtu kakuvumilia umevaa chupi moja kapauka leo umeweza kununua kitv cha chogo tena unajifanya inasimama sana? ndo mana watu wengi hawana huruma na mwanaume asiye na hela yakutunza familia full. rip huko
Mbona komenti yako ina mix ujumbe?? Kuna jambo unataka kutwambia hapa sema thread hazijamechi
 
Marriage will never be boring if every one of the couple holds his/her responsibilities appropriately.
Amini nakuambia siku yatakapokukuta utakumbuka maneno yako na utatamani uyameze. Maisha haya ya kukimbizana muda hautoshi kuanza kuchokana na mume hasa kama mnapendana kwa dhati na kila mmoja anatambua wajibu wake kwenye ndoa. Nikimpenda nitatamani niwe na yeye kadri ninavyoweza, nisongependa mapenzi yake kwangu yagawanywe mara mbili. Lakini kama si mapenzi ya kweli lazima tutachokana
 
Mhhh my dear angry bird foristance mime ishi miaka sabaa or kumi or mitano duuh utakua hujamchoka tu huyo mwanaume? Duuh nafkiri mungu alituumba tuje kuishi huku duniani jamani huezi kuishi miaka yt hyo kama mfungwa lazima upate freedom. So akioa kdg inapunguza concentration kwa mtu mmoja
Ok yeye ameoa, amepunguza concetration kwa mtu mmoja je wewe unapunguzia wapi??
Mimi mke mmoja tu ananitoa jasho, sio kumpa pesa bali kumpa dushelele la maana, kila siku anataka sasa wakiwa wawili si nitakonda??
 
Hili kuna muda nilitaka kulisema.
wengi kwenye jukwaa hili watakudhambulia tu, badala ya kukupa ushauri. kijana hapo sasa unatakiwa kuonyesha uwanaume wako, be strong bro. ongea vizuri na bi mkubwa, wanawake wengi kwenye hili wanapenda kukuwekea masharti fulani fulani, muulize yeye anataka uumfanyie nini ili atulie? na ndoa yenu iendelee kuwa na amani kama mwanzo? alafu kipindi cha mwanzo cha kuongeza mke ndio kinavyokua ni kipindi kigumu sana, usipokua makini unaweza kumuacha mmoja. Vumilia brother ni kipindi cha mpito tu utakuja kuenjoy baadae mambo yakikaa sawa. usiwe mwepesi wa kutoa talaka katika kipindi hiki kwa vile ujafanya kosa lolote umetekeleza ruhusa yako uliyopewa na mola wako. wengi wanaokuambia umefanya kosa wanamichepuko kibao na wanaona wao wapo sawa kuliko wewe uliyeoa kwa sheria.
Ongera sana brother kwa kumnusuru na kumsitiri huyo binti mwingine una malipo yako mazuri mbele ya mola wako.
 
mama yako yuko sahihi kukulilia vile,ukifanikiwa kutoka humo ulimokwama,muombe msamaha mkeo na mama ako kwa kuwatia aibu,mkeo anakuzidi sana akili ndugu yangu,hata kwa jinsi ulivojieleza humu unaonekana tu,nahisi kampani yako ni watu flan wale hawajielewi ndo maana unafanya ujinga nao hawakushauri.km uko hivo basi jf nayo haijakusaidia.rafiki tafuta maarifa ,tafuta urafiki kwa watu wenye hekima,soma vitu positive kila siku naamini baada ya hili hutakwama tena ktk mambo km hayo ambayo ungeweza kuyaepuka kupitia busara tu
 
Mwisho siwanne na kijiajira unacho hofu yako nini? Ongeza mwingine kitaelewekatu. Badala ya kuleta maendeleo kuikimbia dhiki uliokuwanayo kijiajira unaongeza mke!!! Siku kikiisha?
 
Eti umenunua TV imliwaze ukiwa zamu mxiuuu

Hiyo kazi unalipwa shilingi ngap mpaka uongeze mke?
 
Watu wengine mnakua kwa kuongezeka idadi ya miaka tu. Kichwani hamna kitu. Hizi dini wengi zitatupeleka motoni.
 
Mwisho siwanne na kijiajira unacho hofu yako nini? Ongeza mwingine kitaelewekatu. Badala ya kuleta maendeleo kuikimbia dhiki uliokuwanayo kijiajira unaongeza mke!!! Siku kikiisha?

Siku kikiisha anaanza tena michakato ya talaka, mmoja baada ya mwingine.
 
Wewe kaka mleta Mada jiangaliee una upungufu Wa Akiri..Eti nikanunua Na Cable.....mshexxxxxxyyyy
 
Ndo mana maisha ya watoto yanakua magumu kwaajili ya wakurupukaji kama wewe,unaongeza kipato badala ya kuwekeza unaoa?haya unazalisha sh ngapi?mxiuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom