Kweli akili ni mali kila mtu ana zake, Kwahiyo kwako kua na kazi ndo kuwa na uwezo??? TV, cable, Ktianda, dressing yani kwahiyo story tu unaonekana unakamshaara cha kukidhi mahitaji ya msingi ndio maana ulinunua kwa zamu, vya mke mkubwa kwanza halaf vya mke mdogo, ni wazi bado rizki yako haijanyooka, labda ungetuambia una nyumba ngapi (hata ukifa wanao wajistiri), Una miradi ipi ili hata leo ukipata maradhi ikulinde kimaisha na familia yako, bank una kiasi walau wake zake wakiumwa kwa pamoja una uwezo wa kuwatibu au kuwaita familia zao waje wakao nae na uzilishe familia zote wakati wanahudumia mkeo au wake zako, au ndo wakiumwa warudishwa kwao halafu wapeleka 50000 kwa mwezi. KWANZA KUOA MKE WA PILI KUWA NA SABAB PIA , SIO KISA UMEPATA KAZI ATI UONGEZE MKE, MANA WEWE SIO KAM UNA UWEZO BALI UMEPATA KAZI TU. Pole sana.