Nipo hotelini sijui nile nini(CONGO)

hahahahahaaa hiyo menu tu nimecheka sana
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

hamna chipsi bumayai au wali bukuku
 
3 na 8 vya gharama ndio halali ila ivyo vya bei rahisi sio kabisaaaaaaaaaaaaa
 
ndugu ulege nyama ukiwa hapa bongo kwenye nchi za watu huko usithubutu....!!!niliwahi kwenda gabon aisee wale jamaa kila mnyama wao kwao msosi na hawana noma wala nini..
 
ndugu ulege nyama ukiwa hapa bongo kwenye nchi za watu huko usithubutu....!!!niliwahi kwenda gabon aisee wale jamaa kila mnyama wao kwao msosi na hawana noma wala nini..
Sasa sie ambao kama sijala nyama msosi hauendi si ndio kufa na njaa mkuu
 
Back
Top Bottom