Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 1,883
- 1,900
hahahahahaaa hiyo menu tu nimecheka sana
hamna chipsi bumayai au wali bukuku
hamna chipsi bumayai au wali bukuku
Birai ni nini, wamemaanisha pilau
Ushaambiwa mafuta yaliyo pikia pilau ndio yaliyo kaangia sokwe.Dah wakongo wamenishinda aiseh.....bora nishinde na njaa au nile wali mkavu
Wanaitwa'sikia vintu'Uko pande ipi ! Niko maeneo ya fc lupopo
Kutafuta na kutumia(jamaa wapo vizuri kwa bata)Lubumbashi, watu wako busy kutafuta Makuta
Yes ,hasa pale Ngwasuma kamalondo watu wanatumia mpk dola elf mbili usiku mmojaKutafuta na kutumia(jamaa wapo vizuri kwa bata)
Sasa sie ambao kama sijala nyama msosi hauendi si ndio kufa na njaa mkuundugu ulege nyama ukiwa hapa bongo kwenye nchi za watu huko usithubutu....!!!niliwahi kwenda gabon aisee wale jamaa kila mnyama wao kwao msosi na hawana noma wala nini..
Kama leo kamalondo ni full kujiachiaYes ,hasa pale Ngwasuma kamalondo watu wanatumia mpk dola elf mbili usiku mmoja
Tiketi ninayo utakua wapi ,SAA saba Niko kamalondo,Fanya hivyo mkuuKama leo kamalondo ni full kujiachia
Tp Mazembe wanakipiga na SC. Vita
Mtu Chake tuonane hapo mie nitawahi nitafune kwanza michopo ndio niingie kwenye game
Mie ticket bado Jana nililala Likasi ila ndio naondoka sasa kuja LubumbashiTiketi ninayo utakua wapi ,SAA saba Niko kamalondo,Fanya hivyo mkuu
Sawa mkuu haina tatizoMie ticket bado Jana nililala Likasi ila ndio naondoka sasa kuja Lubumbashi
Nitakutafuta
Check PM