hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,590
- 73,954
hahaa...wewe MAPONDO unayajua...?Umemshauri vzur!
hahaa...wewe MAPONDO unayajua...?Umemshauri vzur!
Hiyo menu unaweza kuikuta Hong Kong ila hutapata chochote kama mboga ya nyani. Lakini hayo mengine duuuuh! Mengi tu.
Namba 8, si unaona hata bei iko juu. Ukishuka bongo na ebola juu.

BIRAI SOKOMUTU ndio nini? Mbona ina bei kubwa kuliko au ndio pizza kwa kikongo
mie nahisi biriani nyama ya sokwe mtuMkuu upo serious auTatizo faranga,niliamua kula bugali yaan ugali na konokono maana bei chee ila nyama yake sikuila nlkunywa supu tu
Hao viyura huwa wanazaa watoto wazima. Sasa mimi huwa najiuliza nini cha ajabu wakati tayari tunao binadamu wanaozaa watoto wazima? Kwa nini vyura watunzwe kuliko binadamu, kisa eti wanazaa watoto wazima?Na ninyi mtafika huko kwa kushupalia ufugaji wa vyura kule Kihansi badala ya samaki
ni balaa.. then nje huko kuna vita vinaendelea ..bora kurudi tu homeUmesahau mafuta aliyokaangiwa sokwemutu ndio hayo hayo yanatumika kwenye wali
Hapo kwenye wali kima, kima ni wa kukaanga au wa mchuzi? Naomba nielekeze hiyo hotel ilipo mkuu