Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,345
- 2,018
Una maanisha congo DRC? au mtaa wa Congo hapo kariakoo
Kiruuuuubakuli na mwiko uliopikia panya au kono kono ndio hilo hilo litakupikia bugali au nyani ..kiruuuu
Hata maji yao ya chupa sitayaamini, labda Kama yatakuwepo ninayoyafahamuhapo sili kitu bora niagize maji ya chupa ninywe nikalale
Mapondo ndiyo nnUmemshauri vzur!
*****..... nikienda huko ntakula mikate na biskuti tu.... bora nipate constipation kuliko kula kima
Usije ukala kitu kwa kufuata jina tuMapondo ndiyo nn
Duh!labda ule bugali kima au waambie wakupatie supu ya konokono nilikula mwaka juz nzuri saaaaana
Mie nitashindia soda na cake, mkate au biscuit kakaDah wakongo wamenishinda aiseh.....bora nishinde na njaa au nile wali mkavu
kwani mahole si magimbi mkuukula namba tisa mzee. NDIO VUMBI LA KONGO HILO