Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Hayaa sasa ni dakika ya 70 ndugu msikilizaji. Wanachukua Wanawake wafupi hapa Mbilikimo, wanapiga chenga mbili tatu hapa za kujitetea, wanaanguka, wanainuka, wanaonesha umachachari wao! Kwako Mwl. Kashasha...
 
Ukitaka kua na furaha maishani mwako na ucjutie milele basi mwanamke mfupi ila kuna namna ya kuishi nao mana wao wanajiona wanakasoro yani wana kila kitu kasoro wao ni wafupi basi ila wanakila aina ya sifa matatizo yao mengine yanatibika na wanajali kwenye mahusiano sana na lile neno baby kwao ndo linawapendeza sana na wanajua kulitumiakia mno hakuna tatizo kwao tatizo ni kwa wanaume wafupi hao ndo wangeongelewa na sio wanawake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukitaka kua na furaha maishani mwako na ucjutie milele basi mwanamke mfupi ila kuna namna ya kuishi nao mana wao wanajiona wanakasoro yani wana kila kitu kasoro wao ni wafupi basi ila wanakila aina ya sifa matatizo yao mengine yanatibika na wanajali kwenye mahusiano sana na lile neno baby kwao ndo linawapendeza sana na wanajua kulitumiakia mno hakuna tatizo kwao tatizo ni kwa wanaume wafupi hao ndo wangeongelewa na sio wanawake


Sent from my iPhone using JamiiForums

😍😍😍😍😍😍😍
 
.ht mm hubby ananidanganyaga ati mm nna height nzuri hahahaa 152?..thts nice...sasa mwenzako nipo chubby sana..!so nazidi kuwa short.. bt am okey

Raha ya mfupi awe chubby na utamu unazidi hongera mama


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom