Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Nipeni sifa za wanawake wafupi!

😂😂 najikubali balaa, urefu wangu 152cm na uzito wangu usiozidi 40kg😘😘 basi naonekana kadogo dogo,kumbe mama flani


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂..mimi kwenye uzito jaman dah...nina72..nikiendaga hom Dingi anawaka na zile "BMR"sina hakika na spelling sijui..anakesha kunipima height na kukaluclate uzito wangu ...ah mm huko nimefeli..nakula kama mchwa sema kdg kidg..hapa njaa inauma😎!uzuri sina presha wala sukari...nadunda tu!..nataka kuacha kula nyama kwanza na keki maana napenda balaa
 
.ht mm hubby ananidanganyaga ati mm nna height nzuri hahahaa 152?..thts nice...sasa mwenzako nipo chubby sana..!so nazidi kuwa short.. bt am okey
Hapo unanifanya niwaze sasa
Jamani basiiiii
Chubby tena
What else

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Eeeeh Mara nimepanda cheo???? Kweli mungu sio msagasumu

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂 leo unanifurahisha ujue hahhha..ila sijui kwann wanaume wengi warefu wanatupenda wafupi..mm zaman sikua najiamin kbs..coz hom walikua wananicheka sana .alafu nilikua mkorofiiiii..alafu twin angu mrefu balaa😂😂 sasa nikawa najidefend kinoma noma..nilipokutana na hubby akaniambia napenda tege lako na height yako..at first aliniudhi sana..nikajua ananinyamba..ss hv aku..na nguo ndef siwez sijui sipend sipendezei..napendeza fupi..bas mie kwatuuu..nafanyeje sasa
 
Then mwanamke mfupi akikwambia nywele zako zinanukia vizuri....Tafakari sana ni nywele zipi...

ᴵᶠ ᵀᵃⁿᶻᵃⁿⁱᵃ ʷᵃˢ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ̇ ⁻ ⁱᵗ ʷᵒᵘˡᵈ ᵇᵉ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
 
Back
Top Bottom