Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Mkuuu nimecheka saana hii coment ako maana daaah ivo ivo yaani nakorongo langu flani hiviii
Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu

Tutaona mengi Leo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂.ht mm hubby ananidanganyaga ati mm nna height nzuri hahahaa 152?😂😂😂..thts nice...sasa mwenzako nipo chubby sana..!so nazidi kuwa short..😂😂😂 bt am okey
😂😂 najikubali balaa, urefu wangu 152cm na uzito wangu usiozidi 40kg😘😘 basi naonekana kadogo dogo,kumbe mama flani
 
Back
Top Bottom