Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Hahahahaa....!zamani ilinisumbua sana coz wenzangu warefu..saaa hv amani tele
Ni mrefu best hapa naingalia picha yako kwa kweli hapana akili ina kataa kabisaa😄😄😄hv nna urefu gan mm ww hawachi..si ile ya matege??khaa
Isee, we jamaa wewe..Mwanamke Mfupi Akidondosha Simu Haihalibiki kwasababu Anakuwa Karibu Na Aridhi.




Ni mrefu best hapa naingalia picha yako kwa kweli hapana akili ina kataa kabisaa😄😄😄
Mie najijua mfupi..ila nikikutana na wafupi mm nakuwa tall..bt mm mfupi...!kitu kama 156cm hv
!miaka hii ndo nimejikubali...huko nyuma ilikua mwendo wa heels..sasa hv aku
![]()





Mwanamke Mfupi Akidondosha Simu Haihalibiki kwasababu Anakuwa Karibu Na Aridhi.
Nimeyacheka sana majibu haya.... ! Yaani hadi wenzangu wananishtukia...Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu
Wakiangusha simu hazivunjikii!!
Mnakwama wapi vimodo! Jiongezeni hata na vigodoro basiSema watu wafupi huwa mna shepu nzuri yaani ukiwa mfupi huwezi kukosa wowowo 🤣🤣🤣sio kama wenzangu na sio chura hatuna.
Sasa vitoto vya kike si vinakwama na ule urefu akitia suti bega na mkono umekubali. Ukimuangalia kwa wasiwasi unaeza hisi ni mtu mzima kabisa maana hana wenge, katulia sana ila mabalaa yake ndio hayo. Anawasumbua sana mamanz na wao hawaishi kujigonga kwake maana wanataka wauze nae sura!😂😂😂😂😂😂..mimi simpi nafasi kbs ya kuninyali na ufup wangu aisee....khaa..!
Mnakwama wapi vimodo! Jiongezeni hata na vigodoro basi
Sasa vitoto vya kike si vinakwama na ule urefu akitia suti bega na mkono umekubali. Ukimuangalia kwa wasiwasi unaeza hisi ni mtu mzima kabisa maana hana wenge, katulia sana ila mabalaa yake ndio hayo. Anawasumbua sana mamanz na wao hawaishi kujigonga kwake maana wanataka wauze nae sura!
Aisee ngoja nijalibu kwa kweliMnakwama wapi vimodo! Jiongezeni hata na vigodoro basi
Sasa vitoto vya kike si vinakwama na ule urefu akitia suti bega na mkono umekubali. Ukimuangalia kwa wasiwasi unaeza hisi ni mtu mzima kabisa maana hana wenge, katulia sana ila mabalaa yake ndio hayo. Anawasumbua sana mamanz na wao hawaishi kujigonga kwake maana wanataka wauze nae sura!
Haha kwakweli kujikubali ndo mpango mzima...Hahahahaa....!zamani ilinisumbua sana coz wenzangu warefu..saaa hv amani tele
Aisee ngoja nijalibu kwa kweli
DuVery true wanaume warefu full maringo lkn akikutana na mrefu mwenzake anaufyata...
Halafu nilivyo na bahati mbaya na wanaume wafupi sasa![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app