Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Mwanamke Mfupi Akidondosha Simu Haihalibiki kwasababu Anakuwa Karibu Na Aridhi.
Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu
Nimeyacheka sana majibu haya.... ! Yaani hadi wenzangu wananishtukia...
 
Sema watu wafupi huwa mna shepu nzuri yaani ukiwa mfupi huwezi kukosa wowowo 🤣🤣🤣sio kama wenzangu na sio chura hatuna.
Mnakwama wapi vimodo! Jiongezeni hata na vigodoro basi
😂😂😂😂😂😂..mimi simpi nafasi kbs ya kuninyali na ufup wangu aisee....khaa..!
Sasa vitoto vya kike si vinakwama na ule urefu akitia suti bega na mkono umekubali. Ukimuangalia kwa wasiwasi unaeza hisi ni mtu mzima kabisa maana hana wenge, katulia sana ila mabalaa yake ndio hayo. Anawasumbua sana mamanz na wao hawaishi kujigonga kwake maana wanataka wauze nae sura!
 
Mnakwama wapi vimodo! Jiongezeni hata na vigodoro basi

Sasa vitoto vya kike si vinakwama na ule urefu akitia suti bega na mkono umekubali. Ukimuangalia kwa wasiwasi unaeza hisi ni mtu mzima kabisa maana hana wenge, katulia sana ila mabalaa yake ndio hayo. Anawasumbua sana mamanz na wao hawaishi kujigonga kwake maana wanataka wauze nae sura!


Hhaha yes kwenye suti wanaume warefu ni habari nyingine wanapendezasana sana
 
Mnakwama wapi vimodo! Jiongezeni hata na vigodoro basi

Sasa vitoto vya kike si vinakwama na ule urefu akitia suti bega na mkono umekubali. Ukimuangalia kwa wasiwasi unaeza hisi ni mtu mzima kabisa maana hana wenge, katulia sana ila mabalaa yake ndio hayo. Anawasumbua sana mamanz na wao hawaishi kujigonga kwake maana wanataka wauze nae sura!
Aisee ngoja nijalibu kwa kweli
 
Back
Top Bottom