Asante kwa ushauri kwa hili la leo sidhani km nitapata kusinzia tena kwenye daladala tena nitakuwa makini sana, nimekoma!Pole sana Bi Cantalisia hayo ni mambo yakijinga yanafanywa na watu wajinga ktk jamii!!!!!!!!Ila kwa ushauri wangu usitoe nafasi kwa mtu kukufanyia vitu namna hiyo!!!!!!! Kila wakati uwe alert na mazingila yaliyo kuzunguka, chukua hatu haraka mtu yeyote akijabu kefeki situation, be very serious and sensitive to the saroundings!!!!!!! Don't dose in public busses or vehicles, u will be robbed!!!!!!
Wembe nilikuwa nao kwenye pochi bebii but lile tukio lilinichanganya wala sikukumbuka zaidi ya kujikuta namchapa makofi bila hata kujua nilipata wapi hizo nguvu!dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome
Utakuwa ni ukichaa mpya umeingia mjini!
Kwakeli hata mie nikisikia mtu kabaka kuku kwa sasa wala sitabisha inawezekana coz nahic kuna baadhi ya watu vichwa vyao vimejaa matope!Duh! Hii Kali .. Watu Kama hao wanaweza hata kubaka kuku au bata..
Heeeeee!kumbe ndio dungadunga?nasikiaga hilo jina but nilikuwa sijajua ndio wanajiita hivyo?so ni kikundi cha watu wanaofanya hiyo kitu au mtu akifanya hivyo ndio anaitwa dungadunga?Sio mpya...iko siku mingi....nakumbuka kuwahi kuisikia hii miaka zaidi ya 15 iliyopita.......
Dungadunga ndo jina lao...
Kuna case kama hizi nimeishawahi kuzisikia na kuziona, ingawa huwa nakaa najiuliza tatizo linakuwa ni nini hadi ufikie to that extent nafikiri kuna watu huwa wanahitaji kwenda kumuona Psychiatrist
Asante mkuu,yani km angenichafua sijui nini kingetokea,sijui ndio narudi nyumbani sijui ningemfanyaje,ila nashukuru niligutuka mapema na kuanzia sas niko makini kupita kiasi yani mtu akizidi kunisogelea na kujibana kwangu lzm nimwambie ageukie upande mwingine tu mapema safari iishe kwa amani!Hawa punguani, kwa jina la mitaani "Wagandishiaji" wapo. Kama hukushtuka mapema huyo jamaa angemalizia haja zake hapohapo kwenye kiwiko. Imagine ni uchafu ulioje! Ungefikaje kazini?
Maeneo yao muhimu ni katika daladala ambamo msongamano unakuwa mkubwa, lakini hata kwenye seat wanaweza kufanya uafriti wao. Mwengine ni sokoni na madukani au popote palipo na foleni. Usishangae kuwa wapo walio na hulka za kisenge huwa wanawafanyia hata wanaume wenzao, halmuradi tu wamepata kugandishia.
Hukupaswa kumwacha aondoke hivi hivi tu bila ya kumwachia kumbukumbu yoyote. Ungelikamata ile kitu anaringia na kukwapua kwa chini ghafla na kwa nguvu, hata kama baadae utaenda kunawa kwa Jiki. Hiyo ya wembe pos lakini Mkasi is the best, with just a click unasawazisha kidogo.
Last but first, pole sana kwa mkasa huo. Take it as an (bad) experience and next day you'll know how to act on time and properly.
Asante mpendwa, nawe pole,ila itabidi tu kila mwanamke awe na mkakati kabambe wa kudeal na hawa mabazazi,akilogwa mtu anifanyie huo upuuzi haki ya mungu nampeleka polisi yani hivyo na ushahidi wa zipu wazi,au nawabonyeza na watu wengine waone na tuwe na ushahidi ni polisi tu au kumjeruhi na wembe km bebii alivyoshauri mpaka wakome!Pole sana my Dear, yaani gari likishajaa kupita kiasi, kuna matukio mengi maovu yanaendelea, Mi nilishawahi kukumbwa na vioja vya hawa watu kwenye daladala but yeye hakuwa amefungua zipu, kipindi hicho nilikuwa mdogo, nilikuwa ndio niko sekondari, yaani huyo kaka alikuwa bomba lakini kumbe ni mpuuzi, mi nilikuwa nimesimama, basi lilikuwa limejaa hasa, yeye alikuwa amekaa kwenye siti niliyokuwa nimeishikilia ya upande wa kulia, akaanza kunipapasa kwenye paja la kulia kwa nyuma baada ya kuingiza mkono wake wa kushoto ndani kidogo ya sketi yangu, nilipomshtukia, aliogopa, nilimhurumia nikapotezea upuuzi alioufanya, niliamua kuishika na kuibana sketi yangu kwa mkono wa kushoto, mkono wa kulia nilishikilia na kiuno niliegemeza kwenye siti ya yule mshenzi, aliacha kufanya upuuzi wake na safari ikaendelea kwa amani, halafu pia hii tabia ya baadhi ya wanaume kuwaegemea mno wanawake mgongoni na kuwasugulia mashine zao kwenye makalio, mabasi yanapojaa wakome, unakuta si kwamba anakuchafua, hafungui zipu, anakusugulia mashine yake juu juu, inakera, waache upuuzi wao.
Mamamia akanawe kwa jiki kwani inaacha madoa?Hawa punguani, kwa jina la mitaani "Wagandishiaji" wapo. Kama hukushtuka mapema huyo jamaa angemalizia haja zake hapohapo kwenye kiwiko. Imagine ni uchafu ulioje! Ungefikaje kazini?
Maeneo yao muhimu ni katika daladala ambamo msongamano unakuwa mkubwa, lakini hata kwenye seat wanaweza kufanya uafriti wao. Mwengine ni sokoni na madukani au popote palipo na foleni. Usishangae kuwa wapo walio na hulka za kisenge huwa wanawafanyia hata wanaume wenzao, halmuradi tu wamepata kugandishia.
Hukupaswa kumwacha aondoke hivi hivi tu bila ya kumwachia kumbukumbu yoyote. Ungelikamata ile kitu anaringia na kukwapua kwa chini ghafla na kwa nguvu, hata kama baadae utaenda kunawa kwa Jiki. Hiyo ya wembe pos lakini Mkasi is the best, with just a click unasawazisha kidogo.
Last but first, pole sana kwa mkasa huo. Take it as an (bad) experience and next day you'll know how to act on time and properly.
Asante kaka,sasa si waende kutibiwa! nimekoma sitasinzia tena kwenye daladala!kuna kipindi niliwahi kusoma sehemu (nahisi ni gazeti) kuwa ni ugonjwa ambao unatibika! Ila kupata mfadhaiko mbele ya kadamnasi ni ngumu kwakweli, labda kama mtu amelewa! lakini mzima mzima timamu kabisa basi ni ugonjwa. Pole sana dada. Siku nyengine usisinzie kwenye daladala tena! Pole sana
Asa mbona wanawake wengi tu wanajiuza siwakamalizie hata huko kuliko kujiaibisha jaman!na km ni ugonjwa si wakatibiwe wawe huru,kila mahali wapo mbona tuna kazi jaman!wanaitwaga dunga dunga,kule kkoo wamejaa sana,ni ugonjwa unaitwa mfadhaiko wa akili cantalisia,husababishwa na kutokuwa na uhakika wa ku do kwa mda mrefu,so ukimvuitia hawez kujizuia anabutua bwaaaaaaaaah
Kwanza pole,..hata kwa hili mimi bado nafikiri nistory uliyoipika_maake sidhani ama sifikirii kama inawezekana kwa mtu mwenye akili timamu kufanya hivyo,....mimi kama mbaba sina mchango kwa hili zaidi ya kudhani ni kastory ka kijiweni,...pole sana da canta
Asante kaka,sasa si waende kutibiwa! nimekoma sitasinzia tena kwenye daladala!