Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Habari zenu wadau,leo nimekuwa na asubuhi mbaya sana na hata itapelekea kuifanya siku yangu nzima ya leo kuwa mbaya,nikiwa njian nakuja kazini asubuhi kutokea mwenge kuja posta,nashukuru nilipata siti sio ya dirishan,gari ilikuwa imejaa sana watu wengi walikuwa wamesimama,pembeni yangu alikuwepo mbaba kwa kumkadiria ni km miaka 35-40 hivi alikuwa nadhifu na shati lake lilikuwa na jina la benki moja kubwa hapa mjini,yule baba kadri safari ilivyoendelea alizidi kunisogelea mpaka akawa ameegemea kile kiti na kunigusa kwenye bega la kushoto akiwa anatizama dirishan.
Kutokana na hali ya hewa ya leo ya mvua kulikuwa na folen sana tulipofika maeneo ya moroco nikawa nasinzia ila sio usingizi mzito,nikawa nahisi km kuna kitu kinanipapasa au km kusugua kwa mbali nikafumbua macho nikamwangalia yule baba naye akaniangalia nikawa sijaelewa kitu nikaendelea kulala,baada ya muda tena ile hali ikaanza nikisikilizia kwa muda nikiwa bado sijagundua kinachoendelea nikamtizama tena yule baba hakunitizama akawa anaangalia nje,nikendelea kulala ila nikiwa nasubiri ule msuguo uanze,na kweli haikupita mda ukaanza tena kwa nguvu na kwa kasi nikafumbua macho nakuangalia ile sehemu, yule baba alikuwa amefungua zipu ya suruali yake na anasugua uume wake kwenye mkono wangu kati ya kiwiko na bega,kwakweli nilishituka sana na yeye wala hakujua km nimemuona akaendelea na mchezo wake.
wandugu gafla sikujua nifanyeje nilipata hasira nikajikuta nimesimama gafla na kumchapa kofi kali yule baba kabla hasema kitu nikapiga na lingine akabaki amepigwa butwaa suruali iko wazi watu bado wanamshangaa mie nikamwita konda nakuomba asimamishe gari yule baba ndio akastuka na kukimbilia mlangoni akitashuka watu wakamzuia wakanza kumpiga wakizani ni mwizi na ameniibia nikawaambia sio mwizi msimpige akashuka huku akiwa anafunga suruali maeneo ya ubalozi, watu wakanza kuniuliza kwann nimempiga niliwaelezea kilichotokea walishangaa na baadhi kunilaumu kwann sikuacha wampige sikuweza kusema kitu nilinyamaza nikiwa na hasira kupita kiasi,
kwanza nipen pole balaa hili ambalo nimekuwa nikisikia story tu kwa watu na magazetini, na nawauliza wababa/wakaka ni kitu gani kiasababisha baadhi yao kufanya vitendo hivi,ni makusudi au ni hali inayowakuta bila kujitambua au nikuendekeza tamaa za kijinga?nawasilisha.
Kutokana na hali ya hewa ya leo ya mvua kulikuwa na folen sana tulipofika maeneo ya moroco nikawa nasinzia ila sio usingizi mzito,nikawa nahisi km kuna kitu kinanipapasa au km kusugua kwa mbali nikafumbua macho nikamwangalia yule baba naye akaniangalia nikawa sijaelewa kitu nikaendelea kulala,baada ya muda tena ile hali ikaanza nikisikilizia kwa muda nikiwa bado sijagundua kinachoendelea nikamtizama tena yule baba hakunitizama akawa anaangalia nje,nikendelea kulala ila nikiwa nasubiri ule msuguo uanze,na kweli haikupita mda ukaanza tena kwa nguvu na kwa kasi nikafumbua macho nakuangalia ile sehemu, yule baba alikuwa amefungua zipu ya suruali yake na anasugua uume wake kwenye mkono wangu kati ya kiwiko na bega,kwakweli nilishituka sana na yeye wala hakujua km nimemuona akaendelea na mchezo wake.
wandugu gafla sikujua nifanyeje nilipata hasira nikajikuta nimesimama gafla na kumchapa kofi kali yule baba kabla hasema kitu nikapiga na lingine akabaki amepigwa butwaa suruali iko wazi watu bado wanamshangaa mie nikamwita konda nakuomba asimamishe gari yule baba ndio akastuka na kukimbilia mlangoni akitashuka watu wakamzuia wakanza kumpiga wakizani ni mwizi na ameniibia nikawaambia sio mwizi msimpige akashuka huku akiwa anafunga suruali maeneo ya ubalozi, watu wakanza kuniuliza kwann nimempiga niliwaelezea kilichotokea walishangaa na baadhi kunilaumu kwann sikuacha wampige sikuweza kusema kitu nilinyamaza nikiwa na hasira kupita kiasi,
kwanza nipen pole balaa hili ambalo nimekuwa nikisikia story tu kwa watu na magazetini, na nawauliza wababa/wakaka ni kitu gani kiasababisha baadhi yao kufanya vitendo hivi,ni makusudi au ni hali inayowakuta bila kujitambua au nikuendekeza tamaa za kijinga?nawasilisha.