Kitakachokukuta baki nacho..😂Kunae hii hapa ingawa umesema hutaki referral link ila hawa wapuuzi wana mwaga mi dollar tu sema wanadai ili u withdraw lazima ufikishe dollar 200 na kimsingi sio kazi ngumu kwani maswali yao ni marahisi alafu wanalipa dollar mbili per survey.
Msinishike mashati mimi mwenyewe ndio kwanza nimeanza masaa machache yaliyo pita ila mpaka saivi nina dollar 36 ila uhakika wa kuzi withdraw sina sababu sijafikisha bado kiwango wanacho hitaji ila nikIfikisha pia nitawapa mrejesho
Ila uzuri wake huweki hata senti tano yako ni kutumia tu bundle lako kupiga hela badala ya kwenda google kutafuta namba 30 kwa kirumi.
Link hii apa na picha nakuwekeeni muone
View attachment 2255258🕖Take quizzes to make money. 🕚
Answer the questions and challenge to earn one dollar per minute.gj89.xyz
Bro niamini mimi hapo unapoteza muda tu hakuna utachopata hata senti hamsiniKunae hii hapa ingawa umesema hutaki referral link ila hawa wapuuzi wana mwaga mi dollar tu sema wanadai ili u withdraw lazima ufikishe dollar 200 na kimsingi sio kazi ngumu kwani maswali yao ni marahisi alafu wanalipa dollar mbili per survey.
Msinishike mashati mimi mwenyewe ndio kwanza nimeanza masaa machache yaliyo pita ila mpaka saivi nina dollar 36 ila uhakika wa kuzi withdraw sina sababu sijafikisha bado kiwango wanacho hitaji ila nikIfikisha pia nitawapa mrejesho
Ila uzuri wake huweki hata senti tano yako ni kutumia tu bundle lako kupiga hela badala ya kwenda google kutafuta namba 30 kwa kirumi.
Link hii apa na picha nakuwekeeni muone
View attachment 2255258🕖Take quizzes to make money. 🕚
Answer the questions and challenge to earn one dollar per minute.gj89.xyz
Biashara gani hiyo mkuuHapa kuna siku nlitoa comment kuhusu kazi ambazo napiga online kujipatia kipato, sasa naona idadi ya watu mnaokuja inbox ni wengi siwezi kufundisha mmojammoja,
so nimeamua kuandaa darasa kwa ambao watakuwa tayari.
Download telegram af jiunge kwenye hii channel ntatoa mafunzo bure kabisa.
Itakuchkua wiki moja mpaka tu kuweza kuelewa kila kitu.
Hutakosa 200,000 hadi 600,000 kwa mwezi.
Jiunge hapa
Nimekubali bloodBro niamini mimi hapo unapoteza muda tu hakuna utachopata hata senti hamsini
Acha huo upuuzi unapoteza bando na muda tuDaadeq wana Masharti 100 kidogo
Nishapiga chiniA
Acha huo upuuzi unapoteza bando na muda tu
Hamna kitu hapa mzee,waulize wale wa idea debata sijui,jinsi walivyolizwaKunae hii hapa ingawa umesema hutaki referral link ila hawa wapuuzi wana mwaga mi dollar tu sema wanadai ili u withdraw lazima ufikishe dollar 200 na kimsingi sio kazi ngumu kwani maswali yao ni marahisi alafu wanalipa dollar mbili per survey.
Msinishike mashati mimi mwenyewe ndio kwanza nimeanza masaa machache yaliyo pita ila mpaka saivi nina dollar 36 ila uhakika wa kuzi withdraw sina sababu sijafikisha bado kiwango wanacho hitaji ila nikIfikisha pia nitawapa mrejesho
Ila uzuri wake huweki hata senti tano yako ni kutumia tu bundle lako kupiga hela badala ya kwenda google kutafuta namba 30 kwa kirumi.
Link hii apa na picha nakuwekeeni muone
View attachment 2255258🕖Take quizzes to make money. 🕚
Answer the questions and challenge to earn one dollar per minute.gj89.xyz
Hapo sasa unazungumzia kazi za IT, kubet na forex. Ambazo umesema huziwezi. Cha kufanya tafuta skills za IT au jifunze Forex/kubet, vinginevyo itakua ngumuNimekusoma.
Asante kwa wazo mkuu, lakini hilo sintolifanyia kazi kwasababu muda wote nakua nimekaa dukani.
Kama kuna njia nyingine ambayo unakuwa umekaa sehemu moja tu, naiomba
Nakuhakikishia 100% hii pesa haitoki inapoteza muda tuKunae hii hapa ingawa umesema hutaki referral link ila hawa wapuuzi wana mwaga mi dollar tu sema wanadai ili u withdraw lazima ufikishe dollar 200 na kimsingi sio kazi ngumu kwani maswali yao ni marahisi alafu wanalipa dollar mbili per survey.
Msinishike mashati mimi mwenyewe ndio kwanza nimeanza masaa machache yaliyo pita ila mpaka saivi nina dollar 36 ila uhakika wa kuzi withdraw sina sababu sijafikisha bado kiwango wanacho hitaji ila nikIfikisha pia nitawapa mrejesho
Ila uzuri wake huweki hata senti tano yako ni kutumia tu bundle lako kupiga hela badala ya kwenda google kutafuta namba 30 kwa kirumi.
Link hii apa na picha nakuwekeeni muone
View attachment 2255258🕖Take quizzes to make money. 🕚
Answer the questions and challenge to earn one dollar per minute.gj89.xyz
Daah,hakuna pesa rahisi Sasa.Nakuhakikishia 100% hii pesa haitoki inapoteza muda tu
Hakuna pesa raisi ila pesa ya kufanyia kazi ipo nyingi yu mtandaoniDaah,hakuna pesa rahisi Sasa.
unapoteza muda hapo mzeeKunae hii hapa ingawa umesema hutaki referral link ila hawa wapuuzi wana mwaga mi dollar tu sema wanadai ili u withdraw lazima ufikishe dollar 200 na kimsingi sio kazi ngumu kwani maswali yao ni marahisi alafu wanalipa dollar mbili per survey.
Msinishike mashati mimi mwenyewe ndio kwanza nimeanza masaa machache yaliyo pita ila mpaka saivi nina dollar 36 ila uhakika wa kuzi withdraw sina sababu sijafikisha bado kiwango wanacho hitaji ila nikIfikisha pia nitawapa mrejesho
Ila uzuri wake huweki hata senti tano yako ni kutumia tu bundle lako kupiga hela badala ya kwenda google kutafuta namba 30 kwa kirumi.
Link hii apa na picha nakuwekeeni muone
View attachment 2255258🕖Take quizzes to make money. 🕚
Answer the questions and challenge to earn one dollar per minute.gj89.xyz
Nipe mimi hiyo kazi bossInawezekana mkuu. Sema labda hauna rigid or solid trading rules. I talk from the experience.ila Haina haja Sana ya kujibizana ama Kama kuonyeshana umwamba fulani.if your signals generation is from mathematical technical indicator manaye you become objective and not subjective. The same lot the same sl the same direction the same pairs , you master one thing and you do it over and over and over again until it become second nature.
Kaka nimejiunga apa ila naomba nielekeze jinsi ya kutoa helaHire Freelancers to help with Small Gigs for Your Business | SproutGigs
Our online marketplace helps employers hire freelancers across the world. Search & send offers to several freelance workers today!picoworkers.com
Humu kazi ziko nyingi sana,ukikomaa masaa manne tu kwa siku ,kwa mwezi hukosi hadi laki tatu na kuendelea.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Pia mtoa mada ningekushauri ujaribu na huku kwenye mambo ya uwekezaji ya Hisa View attachment 2240206
Habali kaka naomba nielekeze jinsi ya upatikanaji na hata ufanyaji kazi wake huko picowork niliwahi download app but akuna nilichoelewaHire Freelancers to help with Small Gigs for Your Business | SproutGigs
Our online marketplace helps employers hire freelancers across the world. Search & send offers to several freelance workers today!picoworkers.com
Humu kazi ziko nyingi sana,ukikomaa masaa manne tu kwa siku ,kwa mwezi hukosi hadi laki tatu na kuendelea.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app