- Thread starter
- #81
Si ndo maana kaomba msaada asaidiwe jinsi ya kumwacha mtu anayempenda ila sio husband material!
Frank tafadhali soma kwa umakini nlichoandika...kwan hujawah ona mtu anamwacha anayempenda kuavoid further problems.
Si ndo maana kaomba msaada asaidiwe jinsi ya kumwacha mtu anayempenda ila sio husband material!
Kua karibu sana na marafiki, ndugu yako yeyote hata kama wakiume unaempenda pendelea sana kuchati nae na pia mueleze ni jinsi gani unaumia kwa sababu ya mwanaume flani ivi so hakili itatulia na kumsahau huyo bf wako..kama una accsess ya internet tumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii,na usipendelee kwenda sehemu mliokua mkienda sana zamani na huyo bf wako ...you can pm me.
nimezaliwa hvyo..sipendi mahusiano ma2 at once...tx nways for da advice...
Exactly! Hakuna kulialia hapa wanawake jifunzeni, mahusiano yenu yatakuwa bomba sana, make sure unapocheat, you just cheat responsibly! Usionyeshe changes zozote, usijifanye we unajua kila kitu, au unaleta jeuri, akaaaaa kuwa kama swala 5 lol!, tena ukiweza hivyo, uso saa zote una tabasamu, and you will always be young, take it from me! Ukila na kipofu bibiweee.................
Ni pm mimi nikupe bonge la advice
Mind you hakuna partner asiye kuwa msumbufu! Kila mwanadamu ni stubborn. Chagua kuvumilia huyo ukiwa na plan B au kuacha kabisa.
Unaweza ukaruka mavi ukakanyaga moto. Kama hajakuacha yeye, we zuga naye, ukipretend unampenda sana, huwi annoyed na tabia zake, hata kama unacheat fanya siri sana, asijue, jifanye humble, infact wife material lol uolewe. ili jamii isikusakame. ukipata ndoa baaaaaas umemaliza!
This's the best advise i gues. Imegusa pande zote za kuukabili uhusiano unaoyumba yumba ila upendo upo miongoni mwa partners.
Mwache graduate wetu hommie
Mwache graduate wetu hommie
simba akila nyama ya binadamu kamwe haachi. Umejiandaaje kutokutana na bnadam?
wanaume wote tunabadilikaga baada ya muda obvious tunakua tumeshaizoea iyo kitu so hatuithamin kama mwanzo ingawa sio kama tunakua hatuwapend tena ni ngumu kumeza lakin ndo ukweli so cha msingi ni kukubali mabadiliko na miasha yaendelee kwan hata uko mbelen utayempata baada ya mda iyo yako ataiona ya kawaida nae atabadilika so kua nae tu ndio way of life!
M a risk taker..
ni kweli kabisa..but da problem i cant pretend..wen m hurt iam to the fullest.