Nipeni mbinu za kuishi single

Nipeni mbinu za kuishi single

Ungekuwa mwanume ningesema piga punyeto.lakn kwa kuwa ni msichana njoon dukan kwangu ninauza uume bandia ili ujipozeeeee
 
Kabla haujakutana naye ulikuwa unaishije? There is no miracle, maisha ndio hayo hayo. Ishi kama ulivyokuwa uanishi before meeting him.
 
Mimi pia nina historia ya kuhangahika kumsahau niliempenda.
Niligundua kitu kimoja, haijalisha how busy you trying to keep youself, as long as utaruhusu kumuwaza au utakubali kukumbuka how in love you are with him, you will never forget him!
Sasa cha kufanya ni hiki, kama unahisi hakupendi kama mwanzo au unahisi atakuumiza, use that instinct or dat feeling against the love you have for him.
Kila atakapokuwa anafanikiwa kupenya na kuingia kwenye mawazo yako, tumia hilo wazo la kuja kukuumiza ili kumtimua akilini mwako. Yaani kwa kifupi utumie huko kubadilika kwake kujifaidisha wewe kumsahau. Unaweza ukaanza kutengeneza akilini mwako vitu kama...amebadilika kwasababu kapata mwingine, kwahiyo mimi hanipendi tena. Na kama hanipendi tena kwanini mimi niendelee kumpenda? Si kujitakua kuumizwa huku! Kwanini nimshikilie mtu ambaye kamshikilia mwingine? Kwanini nisimuachie tu niepuke maumivu? Na mengineyo.

Taratibu ukiwa unafanya hivyo atakua anaondoka akilini mwako na hatimaye moyoni mwako. Na uwe una flirt na some other guys, sio muhimu sana ila itakusaidia kuondoa upweke.

Ni vizuri sana ulivyoamua..maana huyo atauvunja vunja na kuubomoa bomoa moyo wako baadae..!!
Hope that helps....over!!
 
inategemea hatua uliyofikia naye katika mapenzi ni ya namna gani ili njia gani iwe rahisi kukusaidia ila generally njia rahisi ni kudharau mambo yaliyotokea bila kutaka kuyachunguza zaidi..na kuamini kuwa kila kitu kina stage tatu mwanzo kilele na mwisho wake..ukijua hivyo kila kitu kwako kitakuwa easy.
ukitaka zaidi just PM
 


Shurti mkono uwe kiunoni kwa mupenzi tena kwa raha zenu, taratibu kwa madaha. (Nilidhani umo humu Mkuu lakini naona haumo....sorry!)


Oh mama kumbe nshachelewa ndo maana naambiwa, "I fear nobody but GOD!"

Mkuu BAK naomba umwekee huyu binti lile lisongi la , "Umekwisha potea, umekwisha potea, wapotea mtoto mzuri kwa..."
 
Last edited by a moderator:
Dada yangu hlo tatizo hata mm limenikuta tena mm nimedumu nae katika mapenz kwa miaka 6 sasa hvi anamwanamke mwingine nimechanganyikiwa mwezio cna raha kila cku kichwa kinauma hadi nimepata ugonjwa wa presha.mapenz yanatesa jaman
 
Kama kabadilika nadhan unatakiwa ufanye jitihada za kumfanya awe kama awali ...sasa mtu kabadilika alafu anaamua kuwa single ..sasa kila mtu akiamua kufanya ivi unategemea nn???? Onesha mapenz kwake ufanye mageuz ...wakat mwingine bila kujijua ww ni sababu ya boyfriend kuchange .....
 
Dada yangu hlo tatizo hata mm limenikuta tena mm nimedumu nae katika mapenz kwa miaka 6 sasa hvi anamwanamke mwingine nimechanganyikiwa mwezio cna raha kila cku kichwa kinauma hadi nimepata ugonjwa wa presha.mapenz yanatesa jaman

Pole ...sasa mtangulize Mungu uone ..jaribu kuacha kuzitegemea akili zako mwenyewe utazid kuumia
 
Naamini kuwa licha ya mazuri mliyopitia lakini pia kuna mabaya aliyowahi kukufanyia. So huu ndo wakati wa kudeal na yale mabaya aliyokutendea usiyafikirie mazuri huta msahau. Na usikurupukie kampani utajikuna una mwingine atakayekuumiza zaidi, na dhamira yako ya kuwa single ikabaki hadithi. Ni hayo tu mdada.


Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Hamna solution zaidi ya kumtafuta na kumpata mwingine utasahu maswahibu yote
 
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...

Pole mbinu ya kushi single ni eidha usioe au usiolewe..thats all.
 
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...

mnajua kukimbia tatizo tu.basi wacha nikupe uwo ushauri unao utaka tafuta sehem isiyo na wanaume ambayo utaweza kuishi iyo single unayo itaka vingnevyo kazi unayo
 
Na wakati mwingine mbinu bora ya kuwa single ni kuwa mwili mmoja hapo hamtakuwa wawili tena bali mwili mmoja(single ) nadhan mbinu hii pia itakufaaa na alichokiunganisha Mungu kikawa single mwanadam asikitenganishe
 
Dada yangu hlo tatizo hata mm limenikuta tena mm nimedumu nae katika mapenz kwa miaka 6 sasa hvi anamwanamke mwingine nimechanganyikiwa mwezio cna raha kila cku kichwa kinauma hadi nimepata ugonjwa wa presha.mapenz yanatesa jaman

Pole sana mrembo dtf, faraja yako iko hapa!
 
Dada yangu hlo tatizo hata mm limenikuta tena mm nimedumu nae katika mapenz kwa miaka 6 sasa hvi anamwanamke mwingine nimechanganyikiwa mwezio cna raha kila cku kichwa kinauma hadi nimepata ugonjwa wa presha.mapenz yanatesa jaman

pole mamii..with tym utacatch up....tuzidi kuombeana tutapata wame wakweli wataotupenda kwa dhati...
 
Mimi pia nina historia ya kuhangahika kumsahau niliempenda.
Niligundua kitu kimoja, haijalisha how busy you trying to keep youself, as long as utaruhusu kumuwaza au utakubali kukumbuka how in love you are with him, you will never forget him!
Sasa cha kufanya ni hiki, kama unahisi hakupendi kama mwanzo au unahisi atakuumiza, use that instinct or dat feeling against the love you have for him.
Kila atakapokuwa anafanikiwa kupenya na kuingia kwenye mawazo yako, tumia hilo wazo la kuja kukuumiza ili kumtimua akilini mwako. Yaani kwa kifupi utumie huko kubadilika kwake kujifaidisha wewe kumsahau. Unaweza ukaanza kutengeneza akilini mwako vitu kama...amebadilika kwasababu kapata mwingine, kwahiyo mimi hanipendi tena. Na kama hanipendi tena kwanini mimi niendelee kumpenda? Si kujitakua kuumizwa huku! Kwanini nimshikilie mtu ambaye kamshikilia mwingine? Kwanini nisimuachie tu niepuke maumivu? Na mengineyo.

Taratibu ukiwa unafanya hivyo atakua anaondoka akilini mwako na hatimaye moyoni mwako. Na uwe una flirt na some other guys, sio muhimu sana ila itakusaidia kuondoa upweke.

Ni vizuri sana ulivyoamua..maana huyo atauvunja vunja na kuubomoa bomoa moyo wako baadae..!!
Hope that helps....over!!

umenishauri nmefarijika sana..nashukuru mno...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom