Ukiona ivyo unamapungufu ndio mana anakutema mapema maana mkipataga vi ajira mna shida nyie
^^
Wenzako wanasema uwe na PLAN B
Ha ha haa wanawake bhana!
Btw nimeshangaa bado kuna wanawake wanajitoa kwa uaminifu kwa mwanaume mmoja.
Pole limi u single una gharama zake..just keep yourself busy
^^
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...