Habarini humu ndani,
Aisee niende straight to the point. Warembo humu ndani naombeni mnipe tips za kudanga. Maisha ni magumu nimesoma nna ka bachelor lakini naona sitaweza kutoboa.
Recently nimepata connection na vigogo kadhaa lakini sasa sijajua naanzaje kuomba favors za hapa na pale I don't mean pesa tu connection za kazi n the like pia.
Kutoa mwili wangu sio tatizo, tatizo nawaza nisije nikaliwa nikabaki manyoya bila kupata faida yoyote.
How do I get all that I want? Share your experiences with me.
I am very serious sitaki mtu PM mimi nipeni tips nikatafute maisha huko.
Nyie mnaojifanyaga kupitia nyuzi za zamani msiniletee hapa.
Your help will be highly appreciated.
======
Mchango
Aisee niende straight to the point. Warembo humu ndani naombeni mnipe tips za kudanga. Maisha ni magumu nimesoma nna ka bachelor lakini naona sitaweza kutoboa.
Recently nimepata connection na vigogo kadhaa lakini sasa sijajua naanzaje kuomba favors za hapa na pale I don't mean pesa tu connection za kazi n the like pia.
Kutoa mwili wangu sio tatizo, tatizo nawaza nisije nikaliwa nikabaki manyoya bila kupata faida yoyote.
How do I get all that I want? Share your experiences with me.
I am very serious sitaki mtu PM mimi nipeni tips nikatafute maisha huko.
Nyie mnaojifanyaga kupitia nyuzi za zamani msiniletee hapa.
Your help will be highly appreciated.
======
Mchango
Kwa nikupongeze kwa kuchukua uamuzi wa busara. Amini usiamini haya mambo yapo dunia nzima. Wanaume ndo viongozi na watawala katika dunia. Hata hao wanawake unao waona kwenye position kubwa za kisiasa wengi wamewekwa na wanaume.
Najua wengi watakuponda na kukurushia madongo kwamba hujaelimika na nini, lakini stick to your mission.
Sasa back to your question. Actually neno ulilotumia la kudanga linaweza kuwa si sahihi sana. Hapa swala ni kutengeneza network of value. How to persue someone ili kupata kile unachotaka....wengine wanaita lobying. Its a common practice kwenye biashara.
Mbinu unazotakiwa kuwa nazo ni mbinu kama za Marketing. Sinasijui umesoma nini, lakini lazima ujue kujiuza. Maswala ya kutoa penzi yanaweza kujitokeza lakini wala usiyaweke mbele.
Tips.
1. Jua unataka nini. Stick nankitu unachokitaka. Usitake vingi.
2. Angalia katika network uliyo nayo ni nani na nani anaweza kukusaidia kile unachokitaka.
3. Tengeneza ukaribu na huyo mtu. Hii mara nyingi inategemea na mazingira mliyokutana na huyo mtu. Mmejuanaje? Unaweza kumpigia simu ya kizushi, kuuliza jambo au hata kumsalimia. Cha msingi unapokutana na mtu, endeleza mawasiliano fulani.
4. Akisha kuwa karibu, mweleze kile unachotaka akusaidie...bila kupepesa macho.
5. Hayo mengine utaendelea nayo according na atakavyo kwambia.