Nipeni mbinu za kuishi single

Nipeni mbinu za kuishi single

Mind you hakuna partner asiye kuwa msumbufu! Kila mwanadamu ni stubborn. Chagua kuvumilia huyo ukiwa na plan B au kuacha kabisa.
Unaweza ukaruka mavi ukakanyaga moto. Kama hajakuacha yeye, we zuga naye, ukipretend unampenda sana, huwi annoyed na tabia zake, hata kama unacheat fanya siri sana, asijue, jifanye humble, infact wife material lol uolewe. ili jamii isikusakame. ukipata ndoa baaaaaas umemaliza!
 
Nakufahamisha my friend from experience, huyo kamatana naye mfunge ndoa, jifanye mjinga kipindi hiki, lakini kuwa na plan B. Usimuache, who knows anaeza kuwa ndiye hubby! Plan B ni muhimu sana whether uko kwenye ndoa au bado. Pia jifunze kutompenda saaaaana mpenzi wako, kutomuamini saaaana, huyo si MUNGU lol!
Last if not least don't put all your eggs in one basket!

sawa ntafanya hvyo....tx kwa ushaur.
 
Nakufahamisha my friend from experience, huyo kamatana naye mfunge ndoa, jifanye mjinga kipindi hiki, lakini kuwa na plan B. Usimuache, who knows anaeza kuwa ndiye hubby! Plan B ni muhimu sana whether uko kwenye ndoa au bado. Pia jifunze kutompenda saaaaana mpenzi wako, kutomuamini saaaana, huyo si MUNGU lol!
Last if not least don't put all your eggs in one basket!

This's the best advise i gues. Imegusa pande zote za kuukabili uhusiano unaoyumba yumba ila upendo upo miongoni mwa partners.
 
sawa ntafanya hvyo....tx kwa ushaur.

Haha Limi unanifurahisha kweli. Kila ushauri unaopewa we jibu lako ''thanx nitafanya hivyo'' utaweza kutekeleza hizo shauri ulizokubaliana nazo zote? I ain't offending, just askin my dear
 
This's the best advise i gues. Imegusa pande zote za kuukabili uhusiano unaoyumba yumba ila upendo upo miongoni mwa partners.

Exactly! Hakuna kulialia hapa wanawake jifunzeni, mahusiano yenu yatakuwa bomba sana, make sure unapocheat, you just cheat responsibly! Usionyeshe changes zozote, usijifanye we unajua kila kitu, au unaleta jeuri, akaaaaa kuwa kama swala 5 lol!, tena ukiweza hivyo, uso saa zote una tabasamu, and you will always be young, take it from me! Ukila na kipofu bibiweee.................
 
nimetumia mbnu nyngi sana bt zimeshindwa....
can gve mi other techniques...

Hutakiwi kuwa mtumwa wa mapenzi na wala usiyape nafasi mapenzi kukutesa. Kwenye mahusiano ni jambo la kawaida kukutana na changamoto ambazo unatakiwa kuwa na silaha za kukabiliana nazo! Kaa nae chini,msikilize yumkini tatizo ni wewe huwezi jua!
 

umeelewa puchu maana yake nini limi?

halafu jifunze kuandika vizuri hapa ni JF, assume kama unaandika kwenye mtihani...hii tx sijui nini sio nzuri. sawa mdogo wangu?
 
Last edited by a moderator:
umeelewa puchu maana yake nini limi?

halafu jifunze kuandika vizuri hapa ni JF, assume kama unaandika kwenye mtihani...hii tx sijui nini sio nzuri. sawa mdogo wangu?
Mkuu Kaizer hiki kizazi cha digitali bana. Hawana muda wa kuandika virefu ,wao utaona LOL ,LMAO, LMFAO, TNX ,ASAP, BTW.
 
Last edited by a moderator:
Ebu achana nae kwanza huyo shababi halafu njoo uombe ushauri wa kuishi singo. Maana sijaelewa unaomba ushauri wa nini ukiwa bado na mahusiano.
 
Ebu achana nae kwanza huyo shababi halafu njoo uombe ushauri wa kuishi singo. Maana sijaelewa unaomba ushauri wa nini ukiwa bado na mahusiano.
Franky unajua mwenyewe anasema bado anampenda, wapo bado kwenye mahusiano, sasa unavunja mahusiano ya nini, anadhani atakuja kupata mr perfect? ndo anaendelea na ndoto za utopia tu
 
Last edited by a moderator:
simba akila nyama ya binadamu kamwe haachi. Umejiandaaje kutokutana na bnadam?
 
Franky unajua mwenyewe anasema bado anampenda, wapo bado kwenye mahusiano, sasa unavunja mahusiano ya nini, anadhani atakuja kupata mr perfect? ndo anaendelea na ndoto za utopia tu
Mkuu Kaizer umeona anavyojichanganya lakini? Mara bado anampenda ,mara anataka ushauri wa kuishi singo. Which is which?
 
Last edited by a moderator:
Kua karibu sana na marafiki, ndugu yako yeyote hata kama wakiume unaempenda pendelea sana kuchati nae na pia mueleze ni jinsi gani unaumia kwa sababu ya mwanaume flani ivi so hakili itatulia na kumsahau huyo bf wako..kama una accsess ya internet tumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii,na usipendelee kwenda sehemu mliokua mkienda sana zamani na huyo bf wako ...you can pm me.
 
Mkuu Kaizer umeona anavyojichanganya lakini? Mara bado anampenda ,mara anataka ushauri wa kuishi singo. Which is which?

Si ndo maana kaomba msaada asaidiwe jinsi ya kumwacha mtu anayempenda ila sio husband material!
 
Haha Limi unanifurahisha kweli. Kila ushauri unaopewa we jibu lako ''thanx nitafanya hivyo'' utaweza kutekeleza hizo shauri ulizokubaliana nazo zote? I ain't offending, just askin my dear

ndio maana nikaweka hii thread humu ili nipate ushaur tofauttofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom