Hongera uliwenda kwa fast track au ile huduma ya kawaida!
Maana ile ya kawaida huchelewi kupewa kitanda ulale na mwenzio such that mwisho wa siku kitanda watu wanne ie wazima 2 na watoto 2
Wana jf nipeni hongera leo nimepata mtoto wa kiume ktk hospitali ya muhimbili. he is such a darling boy. But u cant believe what i have been through. jamani niliumwa mpaka nikajuta. but now am happy.
hongera sana dada, dah unanikumbusha January 2007, nilipopata mtoto wa kiume tulifurahi sana na wife. Naamini wewe na baba yake pia mnayo furaha kubwa sana, MUNGU AWABARIKI SANA PAMOJA NA MTOTO WENUWana jf nipeni hongera leo nimepata mtoto wa kiume ktk hospitali ya muhimbili. he is such a darling boy. But u cant believe what i have been through. jamani niliumwa mpaka nikajuta. but now am happy.