Nipeni hongera jamani

Hongera sana na Mungu awalinde na kuwafadhili....Barikiwa sana mtu wa Mungu.


Wana jf nipeni hongera leo nimepata mtoto wa kiume ktk hospitali ya muhimbili. he is such a darling boy. But u cant believe what i have been through. jamani niliumwa mpaka nikajuta. but now am happy.
 
WANA JF kuzaa kwa njia ya kawaida kama hujpata shida ya kuchanika mtoto akisha toka tumboni ugonjwa unaisha. kinachobaki ni kuchat na friends kwenye cm tu. niko sina shida yeyote kwanini nisichat na wana jf????????? afterlall nimechat usiku wote manake sin cha kufanya na mm natamani usiku uishe pakuche niende kwangu. mmenipa company sana God bless you all

Kumbe unaweza kujifungua kwa njia ya kawaida afu K isichanike? Leo ndo nimeamini kumbe kweli K zina dayameta tofautitofauti kama ilivyo mishedede.

Sipati picha ile kitu yenye medula oblangata itapitaje pale free....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom