Wana jf nipeni hongera leo nimepata mtoto wa kiume ktk hospitali ya muhimbili. he is such a darling boy. But u cant believe what i have been through. jamani niliumwa mpaka nikajuta. but now am happy.
WANA JF kuzaa kwa njia ya kawaida kama hujpata shida ya kuchanika mtoto akisha toka tumboni ugonjwa unaisha. kinachobaki ni kuchat na friends kwenye cm tu. niko sina shida yeyote kwanini nisichat na wana jf????????? afterlall nimechat usiku wote manake sin cha kufanya na mm natamani usiku uishe pakuche niende kwangu. mmenipa company sana God bless you all
Duh! Unajifungua kwa maumivu makali afu fasta unaingia JF. Lea mtoto huyo mama, hii adikshen ya JF utatubemendea mwanetu tumlaumu shemeji yetu bure.