Niombeeni jamani nimetembelewa na mgeni

Hyo aliovaa nimenunua kwa helaa yangu miez 3 nyuma nilimfumua vya kutosha huyo manzii aiseee!!!! Ukita kujua muulizie alwatan Ni nan then mleta mrejesho na muulize vp ule mpango wa passport umeishia wapi???

Ila chonde chonde magunia ya mkaa yasihusikee

Jamani tumuamini nani
 
Sijambo Jirani. Mambo zako?

Naona Mkuu anataka aombewe baada ya kutembelewa na mgeni. Sa sijui nini kinampa hofu?
Sijambo kabisa jirani na Mungu ni mwema.... Umekuwa adimu sana kijiweni


Inapobidi tunamsaidia kwenye matakwa yake tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom