Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Sawa mkuuKisabengo/kiherehere/kimbelembele
Sawa mkuuKisabengo/kiherehere/kimbelembele
kama unasikia kupoteana, kupoteana kwenyewe ndo uku sasa ata bandari collage sjui ilipo, ila naisikiausinisahau mkuu tumehaso wote Bandari college pale
usinisahau mkuu mshahara wako wa kwanza nipe boda boda nikuletee hesabu
hahaHiki kidemu kimalaya, kishafika huku na hicho kisuruali chake.
Maandiko yanasema ama wewe unasemahongera maana nyumba yenye upendo na ukarimu hupata wageni
Na dressing table yenye spray za kutosha??!!Gheto kwako mwanaume una furniture za pink??
Na dressing table yenye spray za kutosha??!!Gheto kwako mwanaume una furniture za pink??
Duu,, Tanzania maisha magumu aisee, hiki nacho chumba cha mtu?
Si ajabu ukakuta mleta uzi sio pake ila kamwambia huyo dada nitumie picha umekaa kitandani.Kumbe JF kuna washamba kuac hiki. Mwanaume unaanzaje kupamba makopo empty ya spry?
Si ajabu ukakuta mleta uzi sio pake ila kamwambia huyo dada nitumie picha umekaa kitandani.
Sijambo Jirani. Mambo zako?
Nakusalimia jirani
Sasa unasubiri nini? Shughulika acha porojo.Nimepata ugeni leo
View attachment 1194897
Hiki kidemu kimalaya, kishafika huku na hicho kisuruali chake.
Nakijua sana na ukiona kimevaa hiyo suruali ujue kinaenda kwa baharia.Santino huna akili ujuee
Ina maana kilipita kwako