Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,868
- 10,354
Itakua labda naye ni secret admirer wa Atoto
Itakua labda naye ni secret admirer wa Atoto
Nataka wathibitishe kuwa sio Mimi kwa sababu Mimi ninamiliki Vincenzo Jr na uongozi wa JamiiForums unajua piaSawa mkuu, lakini waje kukagua how? au nyie Platnum members mna special privileges 😆😂
Hatari sanaMi sijivunii,navuniwa
Ole wako utongoze wanaume wenzio huko pm mana ndio michezo yako..!!Mkuu Seth saint tayari nishakutumia pm
🤣🤣🤣🤭 Eti Mungu atakusaidia...daah 🙌Wamatumbi sema wewe ni mgonjwa , hauna hata pesa ya kula ni mlevi wa kutupwa ,unahitaji msaada , utasikia Mungu atakusaidia ipo siku utafanikiwa .🚮🚮
Ila ukisema wewe ni tajiri wa kigamboni watatoka mapovu na chuki za kufa mtu bwashee.
Kwan nadanganya?🤣🤣🤣🤭 Eti Mungu atakusaidia...daah 🙌
Hakika inahatarisha afyaKwan nadanganya?
Unajikataa 😹Anza kufatilia miandiko vizuri hiyo ID sio Mimi
😹😹 Leo utanena kwa lugha bado hujasema..!!Mimi Nina ID Moja tu Tena ni hii iliyo verified na Cookie na uongozi mzima wa JamiiForums wanajua
😹😹😹 Unaingizwa chaka na wewe unakubali?Nilitaka kushangaa, labda uwe na multiple personality disorder maana haufanani na huyo mpuuzi hata kidogo!
We kijana mkorofi,are you good?Shukrani sana mkuu Seth saint
Nipo madam kwemaWe kijana mkorofi,are you good?
Are you here here? 🥴
Poa kabisa, nimefurahi kukuona...mzee wa PC.Nipo madam kwema
Na kwako pia ndugu yanguPoa kabisa, nimefurahi kukuona...mzee wa PC.
Jioni njema Vin
Barikiwa sana 🙏🙏🙏Na kwako pia ndugu yangu
Inshaallaah 🙏🏽 shukraniHopefully someday you will be proud of something, best of luck!
Poa poa kiongozi umenusuru mauza uza hapa nipo liveShukrani sana mkuu Seth saint