Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,253
- 79,836
Karibu sana mkuuBarikiwa sana kiongozi
Karibu sana mkuuBarikiwa sana kiongozi
Wapi?n njema kabisa ulifika salama?
ile siku c ulisema upo safari unaelekea homeWapi?
Oooh! Nilifika.ile siku c ulisema upo safari unaelekea home
Nguvu moja #SIMBADAYNajivunia Simba day😂
44kg 😳 wewe ni mtu mzima? una urefu gani?Binti wa zamani Mimi najivunia kuporomoka toka 49kg Hadi 44 kg
Kazi kweli kweli/job true true
Duuuh sikujua mwanakwetu, alivyo mstaarabu sikuwahi kumzania, mwenye maPDF ayashushe basi tupate maneno kwa ushahidi.Anakuchezea mchezo wa panya wa kuuma na kupuliza 😹😹
Usitake kujifanya huhijui hiyo michezo humu, yupo km dr manyau nyau 😹
😃😀Duuuh sikujua mwanakwetu, alivyo mstaarabu sikuwahi kumzania, mwenye maPDF ayashushe basi tupate maneno kwa ushahidi.
Hivi Dr. Manyaunyau bado hajarudi?
Nikijua wewe ni Alie kata kamba sijui ushuzi gani, nakufuata Kigamboni nikutie makwenzi!
Hii ni deep, nawaachieni wenyewe!Anajua mwenyewe 😃😀
Mimi Nina ID Moja tu Tena ni hii iliyo verified na Cookie na uongozi mzima wa JamiiForums wanajuaNikijua wewe ni Alie kata kamba sijui ushuzi gani, nakufuata Kigamboni nikutie makwenzi!
Anza kufatilia miandiko vizuri hiyo ID sio MimiNikijua wewe ni Alie kata kamba sijui ushuzi gani, nakufuata Kigamboni nikutie makwenzi!
Nilitaka kushangaa, labda uwe na multiple personality disorder maana haufanani na huyo mpuuzi hata kidogo!Anza kufatilia miandiko vizuri hiyo ID sio Mimi
Hopefully someday you will be proud of something, best of luck!Proud of nothing
unakuja ln kwangu?Oooh! Nilifika.