Nini unajivunia siku ya leo?

Nini unajivunia siku ya leo?

😹😹 Leo utanena kwa lugha bado hujasema..!!
Hii vita kali sana, kwani mlinyimana nini🤣?

Ila mwanakwetu si unaona ameita hadi mods wote. Hawezi kujiamini hivi halafu ikawa uongo buana 😂
 
Hii vita kali sana, kwani mlinyimana nini🤣?

Ila mwanakwetu si unaona ameita hadi mods wote. Hawezi kujiamini hivi halafu ikawa uongo buana 😂
Humjui huyo, hiyo kuita mods ni michezo yake ili kujidefence ndiomana toka mwanzo nilimwambia leo mods hawapo nitakunyoosha hakuna wa kukuonea huruma..!!

Sema nini we jipe muda ipo siku atakugeuka, kuna wenzio walitolewa mpk siri zao. Wengine picha zililetwa wapo km mapulizo 😹😹😹
 
Humjui huyo, hiyo kuita mods ni michezo yake ili kujidefence ndiomana toka mwanzo nilimwambia leo mods hawapo nitakunyoosha hakuna wa kukuonea huruma..!!

Sema nini we jipe muda ipo siku atakugeuka, kuna wenzio walitolewa mpk siri zao. Wengine picha zililetwa wapo km mapulizo 😹😹😹
Kwani hiyo "wapo kama mapulizo" ilikua na ulazima wa kuiweka mwanakwetu 😆 😆 😂
 
Njoo tushare yale ambayo tumeamka tunajivunia na yanatupa furaha kwa siku ya leo.

Binafsi, leo kwenye safari yangu ya kupunguza uzito, rasmi nimeshuka chini ya 70kg, najivunia na nimefurahi sana.

View attachment 3469077

Nikifika lengo langu la uzito ninaoutaka nitarudi kuwasimulia mapito na hekaheka za safari hii ambayo nimeianza tokea January na nikaja humu in February kuomba ushauri (NISAIDIENI NIPUNGUE) - kwa sasa, I'm proud of myself.
Wanachama chakavu kuishi kwa hofu na mashaka kama digidigi!
 
Back
Top Bottom