Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,773
- 27,191
- Thread starter
- #101
Endelea kumaintain kamwili hako hako.Mimi nimepungua kwasababu nimeumwa umwa sana ila zinakuwaga kwenye 50 hivi hazijawahi kuzidi
Umri unavyozidi kuongezeka na kama ukijaliwa kupata watoto, uzito utaongezeka automatically.
Miili mikubwa ni tabu, wala haina raha kihivyooo!