Nini unajivunia siku ya leo?

Nini unajivunia siku ya leo?

Chaliangu acha bangi🤣

sasa nyumba moja room 2 na vits ni utajiri
juzi jioni nilikua zangu beach nakula mpepe mpaka giza limeingia nashangaa huu mwezi leo mbona siuelewi elewi nikahisi labda mpepe unaniletea mazingzong nikarudi zangu gheto asa nashangaa nakuta taarifa kwenye simu kumbe mwezi juzi ulipatwa 🤣🤣🤣🤣 me nikajua ni mpepe umenipoteza
 
Mmmh! Mambo yamenoga
Dokta jawad anajua sana kupenda
Faith anapendwa na kila mkaka, ndugu yangu Aaliyah yeye bahati ya kupendwa imepita kushoto.
Aisee series ishaanza kuwa tamu sana sema yule bidada aaliyaah nae mzuri aisee😎😎 ile mitoto ya kiarabu mizuri sana fei naona mwishoni ataolewa na dokta jawad
 
Njoo tushare yale ambayo tumeamka tunajivunia na yanatupa furaha kwa siku ya leo.

Binafsi, leo kwenye safari yangu ya kupunguza uzito, rasmi nimeshuka chini ya 70kg, najivunia na nimefurahi sana.

View attachment 3468982


Nikifika lengo langu la uzito ninaoutaka nitarudi kuwasimulia mapito na hekaheka za safari hii ambayo nimeianza tokea January na nikaja humu in February kuomba ushauri (NISAIDIENI NIPUNGUE) - kwa sasa, I'm proud of myself.
nilikuwa najiuliza mbona huyu memba anaonekana hamnazo kichwani kumbe ni bonge😎😎😎

mabonge hamjawahi kumiliki akili
 
Aisee series ishaanza kuwa tamu sana sema yule bidada aaliyaah nae mzuri aisee😎😎 ile mitoto ya kiarabu mizuri sana fei naona mwishoni ataolewa na dokta jawad
Yeah! Wazuri sanaa hata wakaka wao ni mahandsome, sema Faith ana kishepu flani hivi amaizing
Mimi mule Tameer ndiye anaondoka na moyo wangu.
 
Njoo tushare yale ambayo tumeamka tunajivunia na yanatupa furaha kwa siku ya leo.

Binafsi, leo kwenye safari yangu ya kupunguza uzito, rasmi nimeshuka chini ya 70kg, najivunia na nimefurahi sana.

View attachment 3468982


Nikifika lengo langu la uzito ninaoutaka nitarudi kuwasimulia mapito na hekaheka za safari hii ambayo nimeianza tokea January na nikaja humu in February kuomba ushauri (NISAIDIENI NIPUNGUE) - kwa sasa, I'm proud of myself.
Hivi kawaida binadamu anatakiwa kua na uzito gani?
 
Back
Top Bottom