Nini unajivunia kutoka kwa mwenzi wako?

Nini unajivunia kutoka kwa mwenzi wako?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,939
Reaction score
12,429
Ndugu zangu kila mtu ana wake anayempenda kwa dhati mke/ mume au mchumba.

Hembu jivunie hapa mazuri yake toka umekuwa nae.

Nianze mimi, mama watoto wangu Anna nakupenda mno aiseeh, miaka mitano sasa toka tumeoana, muda mwingine huwa yunaparurana hasa.

Ila tunakaa na kuyamaliza kisha tunasonga mbele.

Ana mazuri mengi sana huyu mke wangu, huwa nayachanganya yote mabaya na mazuri kisha nayapa jina moja (MAZURI )kwa kuwa najua binadamu hatujakamilika.

Ndugu zangu kwa kuwa sijapata ridhaa yake siwezi kutupiamo kapicha kake humu.
 
Ndugu zangu kila mtu ana wake anayempenda kwa thati mke/ mume au mchumba.

Hembu jivunie hapa mazuri yake toka umekuwa nae.

Nianze mimi, mama watoto wangu Anna nakupenda mno aiseeh, miaka mitano sasa toka tumeoana, muda mwingine huwa yunaparurana hasa.
Na mie mama watoto anaitwa Anna sema tuna miaka sita, halafu ma Anna wana mapenzi ya dhati sana. Nachojivunia ana heshima na utii
 
Anajali hisia zangu,hazungumzi negatively nami....anahofu na Mungu(kwa kweli hili ndo kanikamata,namtafuta aliyenileta kwa udi na uvumba masuala ya mahusiano ya mapenz yalinitenganisha nae maana Mungu wetu hapendi michanganyo,kupitia my love hakika nitasimama tena)
 
Kwanza ni mtu mwenye focus na maisha, Anajua kupenda ukafeel kupendwa , Muelewa sana, anajali si muda wako tu, hisia zako tu hata majukumu yake as a man, Mchangamfu, Hakompliketi ishuz kabisa, 6*6 ako mtundu hadi najionea wivu and above all he's matured enough!!!!
 
Kwanza ni mtu mwenye focus na maisha, Anajua kupenda ukafeel kupendwa , Muelewa sana, anajali si muda wako tu, hisia zako tu hata majukumu yake as a man, Mchangamfu, Hakompliketi ishuz kabisa, 6*6 ako mtundu hadi najionea wivu and above all he's matured enough!!!!

Hapo umezungumzia wanaume 4 tofauti shem [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom