Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
..."mind the Gap" baina ya hizo crates na uwezo wa kuruka hao mabibi na mabwana ndipo utapogundua upeo wa akili za walengwa, na huyo kijana aliyejipatia 'ajira' ya chap chap...
BTW, Huyu mheshimiwa (mkanda nje na skuna zake) 'unadhani' aliruka salama bila kuyakanyaga hayo maji??? NEVER...
Hata serikali ikijenga miundo mbinu, ikiwemo better sewerage, bado wananchi hao hao watavitupa hovyo vifuko vya plastiki nk na tatizo kujirudia pale pale...
Tubadilike!!!